Wazo lako liliongelewa jana kwenye panton mv kazi, tulikuwamo watu kama kumi. Tukasema mr muheshimiwa akiwa anatumbua huwa haongei. Utaona kikao cha kuapishwa tuu, i think pm, ameponea kwenye tundu la sindano, next time may be
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio anaishi goba lakini kulibgana na video iliyokuwa ikionyesha maisha yake ya kifamilia alisema huwa anakuwa dar es salaam wakati wa likizo au kama kafika dar es salaam kikazi, nilimsikia akisema mara nyingine anaweza kuwa kuwa dar es salaam na nyumbani kwake huko goba asifike, nadhani...
Naomba kuuliza, wewe ni mtoto wa ndoa kweli?
Na huyu kwenye profile iliyopost hili swala ndio weye? Kama ndio basi hakuna shida you are old anyway unaweza ukaachana na dini zote ukawa mpagani since your days on earth are numbered.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaga sumu you need to be killed, hata magazeti ya uwazi na nipashe na ijumaa hufai kuwa mwandishi, uhalisia wa title ya habari na kilichomo ndani ni tofauti kabisaaa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna uhuru hapo bado kwa mtazamo wangu, maana katoka mikononi mwa mahakama ya jeshi kakabidhiwa mikononi mwa mahakama ya kiraia, mambo bado ni yale yale tuuu. Na hakuna cha kujifunza pia hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.