Naitwa Geofre wa Mbeya Tz nna miaka 24 ni muajiriwa,ni mrefu,rangi maji ya kunde natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo.
1.Awe mweupe au maji ya kunde.
2.Awe mwembamba au mwenye umbonamba nane.
3.Awe na elimu yoyote.
4.Awe mzuri kitabia na kisura.
5.Asichague hali ya maisha kuishi maana maisha ni kitendawili ambacho hakuna mwenye jibu zaidi ya Mungu.
6.Awe ameokoka.
1.Awe mweupe au maji ya kunde.
2.Awe mwembamba au mwenye umbonamba nane.
3.Awe na elimu yoyote.
4.Awe mzuri kitabia na kisura.
5.Asichague hali ya maisha kuishi maana maisha ni kitendawili ambacho hakuna mwenye jibu zaidi ya Mungu.
6.Awe ameokoka.