Baadhi ya madiwani, wenyeviti wa serikali za vijiji kupitia NCCR Mageuzi katika Jimbo la Kigoma Kusini pamoja na wanachama, wamesema watajiuzulu nyadhifa zao zote za serikali na kurudisha kadi za chama hicho ikiwa mbunge wa jimbo hilo, David Kafulila, atavuliwa uanachama na kupoteza ubunge...