Recent content by April

  1. April

    Hatimaye Kafulila na Mbatia Jukwaa moja kata ya Bashneti..

    Tujenge tabia ya kuappreciate positive attitudes sio kila mtu mamluki jamani
  2. April

    Hatimaye Kafulila na Mbatia Jukwaa moja kata ya Bashneti..

    Baada ya kuwa na mgogoro uliodumu zaidi ya mwaka mmoja, hatimaye Mh. Kafulila na Mwenyekiti wake Mh. James Mbatia wahutubia jukwaa moja kata ya Bashneti huko Babati kwenye Uchaguzi mdogo wa Madiwani. Mkutano huo uliokuwa mkubwa sana kuwa kivutio kwa wengi, waheshimiwa hawa ilikuwa mara ya...
  3. April

    David Kafulila: Rais 2015 Lazima Atokee Kigoma

    Hayo yote mnayasema mbona hamna references? Mara ooh kafulila alisikika akisema, mara eti kafulila kasema dodoma juzi,...wapi kuna ushahidi kamili wa yeye kuyasema hayo? Kama upo wekeni hapa reference hiyo msitupe habari za stori za mjini hapa. Huku ni kuwafanya watanzania wachukue taarifa...
  4. April

    Tamko la Kafulila kwa Umma (kufuatia mbunge wa Bahi kukamatwa kwa Rushwa)...

    TAMKO LA NDUGU DAVID KAFULILA KUHUSU MBUNGE WA JIMBO LA BAHI KUKAMATWA NA TAKUKURU KWA RUSHWA. JUNE 03, 2012 Kwanza niwashukuru ndugu zangu wanahabari kwa kuitikia wito wangu kukubali kuja kunisikiliza. Mtakuwa mmesikia na kusoma kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu taarifa ya...
  5. April

    NCCR wawashitaki Spika na Katibu wabunge

    CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimewafungulia mashtaka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, Spika wa Bunge, Anne Makinda na Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah kikitaka viongozi hao wachukuliwe hatua za kisheria kwa madai ya kukikuka Katiba ya nchi. Habari zilizopatikana na...
  6. April

    KAFULILA:"MAONI yangu juu ya marekebisho ya sheria ya KATIBA- Hakuna Jipya"

    Kufuatia kupitishwa kwa SHERIA ya marekebisho ya KATIBA leo Bungeni, Mh. Kafulila atoa maoni yake akitofautiana na maamuzi yaliyopitishwa leo. Mh. Kafulila ameandika waraka huu akiufafanulia UMMA juu ya mchakato huo uliopitishwa jinsi gani hauna TIJA wala hautaleta mabadiliko yoyote ambayo...
  7. April

    Mbatia amwomba Waziri Mkuu amsaidie kumtoa Kafulila bungeni

    Naomba nirudie kama hujanielewa, nimesema hivii, mojawapo ya mliyoyazungumzia Ikulu ilikuwa ni pamoja na kumwomba Waziri Mkuu aingilie kati suala la Kafulila pamoja na kuwa ya kwamba kwa maandishi mmekwishaliwakilisha hilo kwake. And yes, barua ofisini kwa Waziri Mkuu nimeiona. Sijaudanganya...
  8. April

    Mbatia amwomba Waziri Mkuu amsaidie kumtoa Kafulila bungeni

    Ndugu yangu Kahangwa, mimi naweza kuthibitisha niliyoyaandika. Je, nikithibitisha unaahidi utathibitisha unachotetea wewe?
  9. April

    Mbatia amwomba Waziri Mkuu amsaidie kumtoa Kafulila bungeni

    Wanajamii, Katika hali isiyo ya kawaida baada ya Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, Bw.James Mbatia na wenzake kumaliza mazungumzo Ikulu hivi majuzi, habari za uchunguzi zinasema ya kuwa, mojawapo ya hoja ilikuwa ni kuiomba serikali isaidie kuhakikisha Mh. David Kafulila (Mb. Kigoma Kusini)...
  10. April

    Kushangiliwa kwa Kafulila kwenye Msiba wa Regia kunaashiria nini?

    Malagarasi na Waridi mpo wapi? Hebu piteni hapa mseme yaliopo mioyoni mwenu msinune jamani njooni mseme wapendwa, tehe teheee tunapenda kujua mnazungumziaje hili
  11. April

    NCCR Kasulu wamezomewa na wananchi

    Wewe utakuwa Machali tuu si bure, unaacha kumtoa mtoto na baba yako MIREMBE unamwandama kafulila, badala uungane nae muisogeze mbele Tanzania we unakalia kuropoka tuu, wewe nawe unaelekea mirembe siku si nyingi,...huna jipya fujo tuu unazo hapa hebu leta hoja za mada za msingi, sio fitna za...
  12. April

    KAFULILA aeleze alipata wapi Shahada ya "BBA" na Mwaka gani

    Kamanda acha upotoshaji hapa Kafulila hakufukuzwa UDSM bali alisimamishwa masomo mwaka 2008 kwa kukosa ada akiwa mwaka wa mwisho, na sasa amerudia mwaka 2010 hivyo yupo masomoni kwa Shahada yake ya BBA. Nenda UDSM ukaangalie orodha ya wanafunzi wa mwaka wa tatu. Next time uwe na ushahidi wa...
  13. April

    Online competition searching for miss JF 2011!

    Sasa kashinda nani?
  14. April

    Kafulila aifunika KIGOMA

    Baadhi ya madiwani, wenyeviti wa serikali za vijiji kupitia NCCR Mageuzi katika Jimbo la Kigoma Kusini pamoja na wanachama, wamesema watajiuzulu nyadhifa zao zote za serikali na kurudisha kadi za chama hicho ikiwa mbunge wa jimbo hilo, David Kafulila, atavuliwa uanachama na kupoteza ubunge...
  15. April

    Kisa cha Kafulila kuvuliwa uongozi hiki hapa

    Wakati hali ikiwa tete katika Chama cha CUF, mzozo mwingine mkubwa ambao umeibuka ndani ya Chama cha NCCR- Mageuzi umefikia hatua mbaya, baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Samuel Ruhuza, kumvua madaraka ya Ukatibu Mwenezi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila. Akizungumza na...
Back
Top Bottom