Baada ya kuwa na mgogoro uliodumu zaidi ya mwaka mmoja, hatimaye Mh. Kafulila na Mwenyekiti wake Mh. James Mbatia wahutubia jukwaa moja kata ya Bashneti huko Babati kwenye Uchaguzi mdogo wa Madiwani.
Mkutano huo uliokuwa mkubwa sana kuwa kivutio kwa wengi, waheshimiwa hawa ilikuwa mara ya...
Hayo yote mnayasema mbona hamna references? Mara ooh kafulila alisikika akisema, mara eti kafulila kasema dodoma juzi,...wapi kuna ushahidi kamili wa yeye kuyasema hayo? Kama upo wekeni hapa reference hiyo msitupe habari za stori za mjini hapa. Huku ni kuwafanya watanzania wachukue taarifa...
TAMKO LA NDUGU DAVID KAFULILA KUHUSU MBUNGE WA JIMBO LA BAHI KUKAMATWA NA TAKUKURU KWA RUSHWA.
JUNE 03, 2012
Kwanza niwashukuru ndugu zangu wanahabari kwa kuitikia wito wangu kukubali kuja kunisikiliza. Mtakuwa mmesikia na kusoma kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu taarifa ya...
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimewafungulia mashtaka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, Spika wa Bunge, Anne Makinda na Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah kikitaka viongozi hao wachukuliwe hatua za kisheria kwa madai ya kukikuka Katiba ya nchi.
Habari zilizopatikana na...
Kufuatia kupitishwa kwa SHERIA ya marekebisho ya KATIBA leo Bungeni, Mh. Kafulila atoa maoni yake akitofautiana na maamuzi yaliyopitishwa leo. Mh. Kafulila ameandika waraka huu akiufafanulia UMMA juu ya mchakato huo uliopitishwa jinsi gani hauna TIJA wala hautaleta mabadiliko yoyote ambayo...
Naomba nirudie kama hujanielewa, nimesema hivii, mojawapo ya mliyoyazungumzia Ikulu ilikuwa ni pamoja na kumwomba Waziri Mkuu aingilie kati suala la Kafulila pamoja na kuwa ya kwamba kwa maandishi mmekwishaliwakilisha hilo kwake. And yes, barua ofisini kwa Waziri Mkuu nimeiona.
Sijaudanganya...
Wanajamii,
Katika hali isiyo ya kawaida baada ya Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, Bw.James Mbatia na wenzake kumaliza mazungumzo Ikulu hivi majuzi, habari za uchunguzi zinasema ya kuwa, mojawapo ya hoja ilikuwa ni kuiomba serikali isaidie kuhakikisha Mh. David Kafulila (Mb. Kigoma Kusini)...
Wewe utakuwa Machali tuu si bure, unaacha kumtoa mtoto na baba yako MIREMBE unamwandama kafulila, badala uungane nae muisogeze mbele Tanzania we unakalia kuropoka tuu, wewe nawe unaelekea mirembe siku si nyingi,...huna jipya fujo tuu unazo hapa hebu leta hoja za mada za msingi, sio fitna za...
Kamanda acha upotoshaji hapa
Kafulila hakufukuzwa UDSM bali alisimamishwa masomo mwaka 2008 kwa kukosa ada akiwa mwaka wa mwisho, na sasa amerudia mwaka 2010 hivyo yupo masomoni kwa Shahada yake ya BBA.
Nenda UDSM ukaangalie orodha ya wanafunzi wa mwaka wa tatu.
Next time uwe na ushahidi wa...
Baadhi ya madiwani, wenyeviti wa serikali za vijiji kupitia NCCR Mageuzi katika Jimbo la Kigoma Kusini pamoja na wanachama, wamesema watajiuzulu nyadhifa zao zote za serikali na kurudisha kadi za chama hicho ikiwa mbunge wa jimbo hilo, David Kafulila, atavuliwa uanachama na kupoteza ubunge...
Wakati hali ikiwa tete katika Chama cha CUF, mzozo mwingine mkubwa ambao umeibuka ndani ya Chama cha NCCR- Mageuzi umefikia hatua mbaya, baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Samuel Ruhuza, kumvua madaraka ya Ukatibu Mwenezi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.
Akizungumza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.