Kushangiliwa kwa Kafulila kwenye Msiba wa Regia kunaashiria nini?

Tukianza kuongelea kushangiliwa na watu kama ishara ya kupendwa na kukubalika au kama ndo ishara ya kuwa sahihi kimtazamo tunapotea njia! Hebu chukua mfano wa wale tunaoaminishwa kuwa ni 'wazee wa daresalam' ambao huwa tunaona wanashangilia hotuba za JK pale diamond!? Tazama mantiki ya mazungumzo, mazingira,na uhalisia ya yanayoongelewa na watu wenyewe wanoshangilia!!
Lazima tujiulize 'alishangiliwa' na kina nani? kwa nini wao ndo 'walimshangilie?' kwa nini yeye ndo 'ashangiliwe?' mazingira yaliyozunguka yeye 'kushangiliwa?'
 
Pole kwa famili a ya makani aliedondoka kwa uchungu jamani ...alipoona mwiliwa marehemu
 
Ni upuuzi mtupu.akifukuzwa wa ccm sawa wa cha kingine mizengwe
Hata ukiwa mbunge ni lazima ufuatekatiba, itikadi na misingi ya chama chako ndicho chenye tiketi yako.kuwa mbunge sio ufalme wa miaka 5
Wabunge haohao wakiambiwa wajadili hoja ya mgombea binafsi wanamuona mtikila chizi hawajui inasaidia wakati kama huu na iwapo una nguvu zaidi kwa wananchi na si chamani
 
Nimekuwapo kwenye viwanja vya Karimjee katika kumuaga Shujaa wetu Mh. Regia Mtema. Ni viongozi wengi walikuwapo, kuanzia wa Serikali pamoja na Waziri Mkuu ni Makamu wa Rais. Pia Mawaziri, Wabunge, Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wakuu wa Majeshi ya Polisi, n.k n.k.
Kilichonishangaza ni pale yalipokuwa yanasomwa majina ya Wawakilishi wa vyama vya Siasa ambao watalipiwa na Ofisi ya Bunge na kwamba wameteuliwa na Bunge kuwakilisha kwenye Mazishi hayo huko Ifakara. Pamoja na Kutajwa majina ya Wabunge mbalimbali wa CCM na Upinzani, Viwanja viliripuka pale Jina la Kafulila lilipotamkwa kama mmoja wa Wabunge watakaoiwakilisha NCCR Mageuzi kwenye Maziko hayo.
Bado najiuliza, Je kushangiliwa kwa Mh. Kafulila, kulikuwa kunatoa Ujumbe gani kwa akina James Mbatia ambaye tulikuwa nae pale viwanjani?

Mwenye
Macho haambiwi Ona!
[/
COLOR]


Mbona unapotosha ndugu?
Hakushangiliwa ila watu walicheka kitendo cha yeye kutajwa kama mbunge na kuchaguliwa kwenda Ifakara wakati mpaka sasa haina uhakika kama ni mbunge ama sio mbunge,hivyo watu waliona ni kichekesho.
Na wala haikuwa kiasi hicho cha kusema
watu walilipuka.
 
Nilikuwepo msibani, baadhi ya waombolezaji walicheka, wengine wakapiga makofi (ya kishabiki), nk. mara baada ya Mhe. Kafulila kutajwa kama Mbunge atakayekiwakilisha chama cha NCCR-Mageuzi katika Maziko ya Marehemu Regia (R.I.P) yatakayofanyika kule Ifakara Morogoro
 
Labda umuulize Mbatia na wenzake iweje wamfukuze uanachama na bado atambulike kama bado mwanachama
 
Malagarasi na Waridi mpo wapi?
Hebu piteni hapa mseme yaliopo mioyoni mwenu msinune jamani njooni mseme wapendwa, tehe teheee tunapenda kujua mnazungumziaje hili
 
Magamba utamjua tu.Asipofitinisha chadema hapati amani

kuna kitu cha msing hapo mkuu hebu tafakar kwa umakini kwani fitina ni kwa chadema peke yake na kwa vyama vingine sio fitina au chadema yenyewe NI PERFECT HAIKOSOLEWI. Tupende kukubali changamoto jamani.
 
Kafulila, ndio aliompeleka Chadema marehemu Regia Mtema...

Dats ryt bati una uhakika gan? Kwani hata we si umesimuliwa na zitto 2! Enewei hata hivyo ukweli utabaki pale pale kuwa kafulila ni mpigaji mzuri sema2 ktk harakati zake huwa anamis nidhamu, kwani ye mwenyewe kipindi yupo CDM aliwahi kumwambia chacha wangwe dat" NIDHAMU BILA DEMOKRASIA NI UDIKTETA, but DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO" Most z dat kafulila ajirmynd mwenyewe juu ya hii kauli aliyomuonya chacha wangwe zen he wl mec gud again moa zan past. Keep it up KAFULILA.
 
Suala la KAFULILA ni gumu kulizungumzia kwani kwa wengine wataanza kuona nimefika mbali sana. Ndugu yangu Tanzania tuna ombwe la vyama vya siasa upande wa upinzani. Viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wamejaa ubinafsi na ubwana mkubwa tupu. Mfano CUF una habari ktk maamuzi maalimu Seif na prof. Lipumba wanajifanyia kama "kampuni yao". Ona namna RASHIDI M. Walivyomtoa sadaka kwa zengwe na fitna za wazi. Kumbuka pia prof. Abdala safari alichofanyiwa ktk uchaguzi uliopita wa kumchagua mwenyekiti taifa. Nenda CHADEMA pale bwana mdogo Zitto alipotaka kuchukua nafasi ya "CHIFU". Ah! Inatosha ndugu yangu. Bad naration but fact.

Ha ha ha ha ha ha............................. We mambo ya zitto na chadema huyajui but ulisimuliwa2 tena juu juu, sasa umbea wako unatoka wapi? Hebu ishia zako na usijifunzie siasa humu JF, badilika we mwanamke ukojeee? Yani umewezeshwa lakini bado huwezi. Dah!!! Hii ni kazi kweli kweli.........................
 
Dats ryt bati una uhakika gan? Kwani hata we si umesimuliwa na zitto 2! Enewei hata hivyo ukweli utabaki pale pale kuwa kafulila ni mpigaji mzuri sema2 ktk harakati zake huwa anamis nidhamu, kwani ye mwenyewe kipindi yupo CDM aliwahi kumwambia chacha wangwe dat" NIDHAMU BILA DEMOKRASIA NI UDIKTETA, but DEMOKRASIA BILA NIDHAMU NI FUJO" Most z dat kafulila ajirmynd mwenyewe juu ya hii kauli aliyomuonya chacha wangwe zen he wl mec gud again moa zan past. Keep it up KAFULILA.

Dogo, JF sio sehemu ya porojo humu kumejaa Great Thinkers sasa kutuandikia maneno ya Facebook sio sehemu yake...
 
Back
Top Bottom