Aliwahi mwambia waziri Magembe kuwa atamroga kwa ile ishu ya wafugaji ,nadhani kwa ishu alonayo sasa ndo sehemu muafaka ya kuonyeshea ndumba zake tuzione awaloge wote walomweka ndani wakati alikuwa anatetea wananchi wake.
Bora kuwa na akiri za Ng'ombe kuliko kuwa na akiri mgando ka za mi ccm,maana Ng'ombe akikataa kunywa maji kamwe huwezi mlazimisha.mpaka hapo huoni akiri ya Ng'ombe ni bora kuliko ya huyo Nkamia wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.