Lini Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli atahutubia UN?

Naangalia Straight Talk Afrika kupitia Star Tv naona viongozi mbali mbali wakikaririwa, akiwemo rais wa Zambia kwa upande wa Afrika. Nimetamani sana kumuona JPM akitiririka pale mbele ya viongozi mbali mbali wa dunia akiwemo rais wa USA Donald Trump. Kwakweli huo ndio ungekuwa uwanja wa yeye kujitambulisha kidunia na kuitangaza Tanzania. Hapo ndipo angechomekea definition ya Catalyst ili akina Trump wamtambue kuwa yeye ni Dr. mwanasayansi wa kusomea na siyo wa kupewa. Nategemea kikao kijacho atakwenda yeye mwenyewe in person badala ya kila mara kuwakilishwa na waziri wa mambo ya nje Mahiga au makamu wake Samia.
Kwa lugha ipi wakati ngeli imempiga chenga
 
Raisi ajifunze tu Kiswahili kwa fasaha huko kwenye kiingereza sina hata cha kusema anashindwa hata na mtoto mdogo wa nursery school wa KG II wakati mwingine akiongea kama upo na familia yako kama mzazi mpaka unaona aibu mtanzania gani hajui kuongea lugha hata moja kiufasaha si Kiswahili wala kingereza aibu tupu kwa jinsi anavyoongea wengi wetu wa daraja la kati tunamuona raisi kama vile sio mtanzania mwenzetu bora hata kiswahili cha Mseven ni kizuri kuliko huyu wetu.
Anaongea kiswahili cha wanyarwanda
 
Thubutu yake! Mie nakwambia mafisadi Mkapa na Kikwete wametuletea janga kubwa sana nchini. Sijui hata walikuwa wanawaza nini kutuletea mediocre person kama huyu! Na si ajabu watakwambia na wao ni Wazalendo!

Naangalia Straight Talk Afrika kupitia Star Tv naona viongozi mbali mbali wakikaririwa, akiwemo rais wa Zambia kwa upande wa Afrika. Nimetamani sana kumuona JPM akitiririka pale mbele ya viongozi mbali mbali wa dunia akiwemo rais wa USA Donald Trump. Kwakweli huo ndio ungekuwa uwanja wa yeye kujitambulisha kidunia na kuitangaza Tanzania. Hapo ndipo angechomekea definition ya Catalyst ili akina Trump wamtambue kuwa yeye ni Dr. mwanasayansi wa kusomea na siyo wa kupewa. Nategemea kikao kijacho atakwenda yeye mwenyewe in person badala ya kila mara kuwakilishwa na waziri wa mambo ya nje Mahiga au makamu wake Samia.
 
Sehemu ya great thinker kwenye hii mada ni ndogo sana. JK aliitwa Vasco Da Gama kwa sababu ya mambo hayo hayo ya UN.

Kilicholalamika ni extremity ya safari zake, nyingi zikiwa hazimhitaji yeye kwenda. Kinacholalamikiwa sasa ni extremity ya kutokwenda kabisa hata kwenye safari ambazo Head of State ni muhimu kuudhuria.

Kufanya kwa kiasi ndiyo inapendeza.
 
Kilicholalamika ni extremity ya safari zake, nyingi zikiwa hazimhitaji yeye kwenda. Kinacholalamikiwa sasa ni extremity ya kutokwenda kabisa hata kwenye safari ambazo Head of State ni muhimu kuudhuria.

Kufanya kwa kiasi ndiyo inapendeza.
Mkuu Nzi, akianza kwenda huko nje humu JF wataibuka watu na kuanza kukosoa. Unapokuwa na mtu kama mzee Mahiga kwenye wizara ya mambo ya nje maana yake uzoefu wake unapaswa kuonekana ukifanya kazi.

Hao watu wa diplomasia waliojaa foreign affairs kazi yao ni nini haswa?. Mabalozi wanafanya kazi nzuri tu. Juzi kaonekana yule Brazil akiwa kazini.
 
Hawaendagi Marais wa ovyo huko. Only smart figures who can pinpoint and address logical issues that hit the globe
 
Naangalia Straight Talk Afrika kupitia Star Tv naona viongozi mbali mbali wakikaririwa, akiwemo rais wa Zambia kwa upande wa Afrika. Nimetamani sana kumuona JPM akitiririka pale mbele ya viongozi mbali mbali wa dunia akiwemo rais wa USA Donald Trump. Kwakweli huo ndio ungekuwa uwanja wa yeye kujitambulisha kidunia na kuitangaza Tanzania. Hapo ndipo angechomekea definition ya Catalyst ili akina Trump wamtambue kuwa yeye ni Dr. mwanasayansi wa kusomea na siyo wa kupewa. Nategemea kikao kijacho atakwenda yeye mwenyewe in person badala ya kila mara kuwakilishwa na waziri wa mambo ya nje Mahiga au makamu wake Samia.
Kigugumizi kitamuandama
 
Mkuu Nzi, akianza kwenda huko nje humu JF wataibuka watu na kuanza kukosoa. Unapokuwa na mtu kama mzee Mahiga kwenye wizara ya mambo ya nje maana yake uzoefu wake unapaswa kuonekana ukifanya kazi.

Hao watu wa diplomasia waliojaa foreign affairs kazi yao ni nini haswa?. Mabalozi wanafanya kazi nzuri tu. Juzi kaonekana yule Brazil akiwa kazini.
Mkuu thread kama hizi uwe unawaacha wanatekenyana na kucheka wenyewe..,baada ya kukosa sera na ishu za muhimu za kukosoa wameanza kuokoteza hoja zisizo na vichwa wala miguu.Ila kiukweli wameshikwa pabaya zamu hii.
 
Tulioko nje ya mipaka ya nchi tunafahamu thamani ya Rais wetu Magufuli, ni kiongozi bora zaidi kutokea katika Afrika baada ya viongozi wa kweli waliopigania uhuru, huyu anapigania uhuru dhidi ya ukoloni mambo leo - Neo Colonialism; Kuna watu bado wanawaza uhuru wa bendera, Rais huyu na wenye akili wanawaza kupigania uhuru wa kiuchumi dhidi ya madhalimu na wafuasi wao
 
Mkuu Nzi, akianza kwenda huko nje humu JF wataibuka watu na kuanza kukosoa. Unapokuwa na mtu kama mzee Mahiga kwenye wizara ya mambo ya nje maana yake uzoefu wake unapaswa kuonekana ukifanya kazi.

Hao watu wa diplomasia waliojaa foreign affairs kazi yao ni nini haswa?. Mabalozi wanafanya kazi nzuri tu. Juzi kaonekana yule Brazil akiwa kazini.

Kuna mikutano heads of states ni muhimu kwenda. UNGA ni moja ya mikutano hiyo ambayo head of state hapaswi kuacha. Kwenye hiyo mikutano kuna lobbyists ambao wanaweza kuwa msaada katika 'vita' yake ya kiuchumi. Wanaweza ku-sensitise na ku-pressurise serikali zao ziwabane hao wawekezaji. Uwepo wa head of state unaleta uzito hata kwenye lobbying.

Hao watu wa FAs wanaweza kuudhuria mikutano mingine midogo midogo.

UNGA inafanyika mara chache chache sana! Yaani unataka kusema malalamiko ya watu kwenye mitandao na kukosolewa kwake kunaathiri utendaji wake wa kazi? Mbona watanzania hawalalamiki aisee!! Yaani ikifikia angalau hata asilimia 20-30 ya watanzania wanaolalamika, hakutakalika.
 
Tulioko nje ya mipaka ya nchi tunafahamu thamani ya Rais wetu Magufuli, ni kiongozi bora zaidi kutokea katika Afrika baada ya viongozi wa kweli waliopigania uhuru, huyu anapigania uhuru dhidi ya ukoloni mambo leo - Neo Colonialism; Kuna watu bado wanawaza uhuru wa bendera, Rais huyu na wenye akili wanawaza kupigania uhuru wa kiuchumi dhidi ya madhalimu na wafuasi wao

Wewe ni mwakilishi wa walioko nje wote? Mimi niko nje lakini sioni kama Magufuli ni kiongozi bora zaidi kutokea Afrika baada ya wapigania Uhuru.

Kwa hiyo leo Magufuli amekuwa bora kuliko hata mentor wake Kagame?

Hivi utapigana vipi na ukoloni mamboleo ilhali serikali bado inaendeshwa kwa financial handouts za wakoloni? Sekta za afya, elimu na mazingira bila handouts za wakoloni hazifanyi kazi.

Uhuru wa kiuchumi ni ndoto kuupata ilhali unategemea misaada, foreign investors, foreign technology n.k. Pili soft skills zaidi ndizo zinahitajiwa na zinafaa kwenye 'vita' hii ya kiuchumi.

Ironically hawa unaowaita 'wadhalimu' wanafanya udhalimu ambao serikali za CCM zimewawezeshaji
 
Raisi ajifunze tu Kiswahili kwa fasaha huko kwenye kiingereza sina hata cha kusema anashindwa hata na mtoto mdogo wa nursery school wa KG II wakati mwingine akiongea kama upo na familia yako kama mzazi mpaka unaona aibu mtanzania gani hajui kuongea lugha hata moja kiufasaha si Kiswahili wala kingereza aibu tupu kwa jinsi anavyoongea wengi wetu wa daraja la kati tunamuona raisi kama vile sio mtanzania mwenzetu bora hata kiswahili cha Mseven ni kizuri kuliko huyu wetu.
Halaf kuna kitu bado sijaelewa hiv na mawazir au viongoz wengine wamepigwa marufu kuongea kiingereza wanapokuwa kwenye washa/semina/mikutano ya kimataifa hasa inayofanyika hapa nchini, siwaoni mawazir wake wakitema yai, au wamehamua kupendezesha mkulu.
 
Back
Top Bottom