washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 717
Ivi ile bia ya 'The Kick' bado ipo?Bongo movie, huwezi kupoteza muda kwa kile anachokifanya msukuma.. Huyu ni mpigaji na mkurupukaji/ mpenda sifa, somewhere wanamtumia kuaminisha jamii hata wao wanakaa jela aka wanaisoma namba lakini ukweli sio huu kifupi wanazuga..
Watanzania muwe makini sana wakati huu kuliku mwingine..