Njoo Shinyanga Tinde (Tinde girls high school) shule iko barabaran janction ya kwenda Kahama/Mwz mazingira mazuri sana mf. Nyumba nzuri bure.....nije Mbeya jiji. 0753418011
Njoo shinyanga Tinde (Tinde girls high school) idara secondari shule iko barabaran janction ya kwenda kahama/mwz mazingira mazuri sana mf.nyumba nzuri bure...nije Mbeya jiji
Da....hata mm hilo swala limenikumba ukipeleka barua halmashauri wanasema uhamisho umesitishwa mpaka utakapotangazwa but barua sijaona hizo. Ukweli sijui ni upi
Kama umeisha atwambie aise...kafungia uhamisho, watu kwenda masomon, kafunga kupanda madaraja, kafungia ajira n.k. Watu wagonjwa wanateseka ili wakae karibu hosptal na ndugu zao pia, wengine wakae karibu wake zao/waume zao. Sasa huu uhakiki umeisha au bado unaendelea? Na kama unaendelea mbona...
Kupandishwa mshahara hamna, basi hata increment tu ya kila mwaka hamna, kupanda daraja ndo vile, basi hata uhamisho tu mwlm kapata furusa sehem ajikwamue kimaisha uhamisho umefungwa, haya leo tena umekapunguza hako kamshahara...hapo ndipo utakapokumbuka kuwa maharage si mboga bali nikiungo cha kande
Hali ya uchumi ni mbaya vijijn watu wanateseka na hali ngum, ajira kwa vijana kizungumkuti mkulu yuko busy na mahakama....ngoja twendelee kumsubr mzee wamatukio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.