TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

Changamkia mkopo ewe mtumishi ujijenge kiuchumi Bayport ipo kukuhudumia popote ulipo tanzania utapata mkopo wenye riba nafuu sana. Nipo kuhudumia popote ulipo
Wewe na nawe upo timamu kweli,acha kutuchanganya na ma mikopo yenu ya riba asilimia 300,tunajadiri mambo ya msingi wewe unatutoa nje ya mada
 
Wewe na nawe upo timamu kweli,acha kutuchanganya na ma mikopo yenu ya riba asilimia 300,tunajadiri mambo ya msingi wewe unatutoa nje ya mada
Achana nae huyo...aende akawatafute wanaoanza kazi Leo...humu watu tuna miaka kumi vituo vya kazi hawezi kutupata anatupotezea muda ..watu tuna stress za uhamisho
 
Jamani mm nimekata tamaa kabisa sijui wenzangu ...dalili za kuhama sizioni kabisa naona ndo basi tena tusubiri kudra za mwenyezi mungu
 
Yani maisha ndo yanazidi kuwa magumu na hivi mwezi huu ndio wamekata 15% ya mkopo wa bodi yaani ndio Hali inazidi kuwa mbaya. Watuonee huruma tu watoe sasa huo uhamisho
 
Magu na serikali yake itasababisha ndoa nyingi kuvunjika za wafanyakazi
 
Mimi kwa taarifa rasmi nlizoskia wataanza kuachia majina march. Maana zoez la uhakiki i lilikua bado so majina na kuruhusu kuomba uhamisho wataruhusu frm march au april.
 
Nlitaka kuacha kazi kabisa mkuu wa idara nae akaniambia niwe na subira maana ndo taarifa alizopata. Tusikate tamaa.
 
Kisaikolojia,inadhoofisha utendaji wa kazi,kutotimiza sehemu ya stahili za watumishi wanazopaswa kutendewa au kupewa.
 
Kuna barua zinasambazwa kila shule hapa mkoani iringa, zikidaiwa kutoka TAMISEMI na zinaeleza kuwa uhamisho umesitishwa mpaka itakapotangazwa tenaa, hata hivyo haielezi hatima ya watu ambao tulishaomba uhamisho kabla ya barua hii.

Niwaombe wahusika, tunajua lengo ni kuwakomoa watumishi wa umma, sasa toeni tamko la watu ambao barua zao zipo utumishi . Ubabe huu hautatufika popote.
 
Hakika kama ni kukomolewa sasa basi, tuungane watumishi kulipinga hilo hivi vyama naona havitusaidii
 
Mimi kwa taarifa rasmi nlizoskia wataanza kuachia majina march. Maana zoez la uhakiki i lilikua bado so majina na kuruhusu kuomba uhamisho wataruhusu frm march au april.
Mbona kuna thread inayosema wanasambaza waraka wa kutoruhusu uhamisho?
 
Kuna barua zinasambazwa kila shule hapa mkoani IRINGA, zikidaiwa kutoka tamisemi na zinaeleza kuwa uhamisho umesitishwa mpaka itakapotangazwa tenaa, HATA HIVYO HAIELEZI HATIMA YA WATU AMBAO TULISHAOMBA UHAMISHO KABLA YA BARUA HII. Niwaombe wahusika, tunajua lengo ni kuwakomoa watumishi wa umma, sasa TOENI TAMKO LA WATU AMBAO BARUA ZAO ZIPO UTUMISHI . Ubabe huu hautatufika popote.
Unataka majibu gani? Majibu si ndio hayo mliyotumiwa? HAKUNA UHAMISHO. Over
 
Da....hata mm hilo swala limenikumba ukipeleka barua halmashauri wanasema uhamisho umesitishwa mpaka utakapotangazwa but barua sijaona hizo. Ukweli sijui ni upi
 
Back
Top Bottom