Recent content by ANY

  1. A

    Job application hii imenichanganya sana naomba msaada

    Ni wadhamini wanaokuwa kwenye CV yako. Historia ya mshahara uiandike kwenye barua ya maombi.
  2. A

    Baba Mzazi wa Mhe. Tundu Antipas Lissu Mughwai afariki dunia jioni ya leo

    Poleni na msiba ndungu wote wa marehemu.
  3. A

    CHADEMA UK Wamchangia Mjane Wa DAUDI Mwangosi Aliyeuawa Nyololo shs 1,000,000

    GREATEST IS THE HEART THAT GIVETH AND THE HAND THAT TAKETH. From the Bible Ref to Mark 12: 41 - 44.
  4. A

    Dr Nchimbi ameunda Kamati sio Tume

    Naona Mh. Waziri Nchimbi na maafisa wake bado ni vipofu hawakuelewa alichowaambia Mh. Tundu Lissu (Mb). Hata waiite kwa jina gani sijui, "Tume", "Kamati" etc. tatizo ni kinachochunguza; MAUAJI. Wanayo mamlaka yoyote kisheria??! HAKUNA!Hivyo haitusaidii kwa namna yoyote ile zaidi ya kuwa ni...
  5. A

    Hii ni hospitali ya TAIFA - Muhimbili!

    What if these names would have been that of your close relatives or yourself ( when you went for consultation to Dr X ) on the news paper, JF etc?! Would it be the same to you? You are misusing your position (authority by vartue of your profession) to give out patients records without their...
  6. A

    Dr. Slaa & Lema waiangamiza CCM bila huruma

    Ujio mwingi wa wanachama wa CCM usije ukatusahaulisha malengo na wajibu wa CDM kwa wananchi. Wanaweza wakaja kwa wingi na kupanda mbegu ya maangamizi ndani ya CDM (Never underestimate CCM this is the reality). Ni kweli kuwa kati yao wapo ambao wana moyo wa dhati kuleta mabadiliko na wamechoshwa...
  7. A

    Maoni yangu dhidi ya "Baadhi ya wananchi wahuni" wa Arusha kujaribu kuzuia wanahabari wa TBC

    Sikio la kufa halisikii dawa. TBC mnakera, mnatia kinyaa na mmekubali kutumiwa na mnatumika kwelikweli. Tunasubiria kifo chako TBC ambacho kiko kwenye karibu.
  8. A

    Current Vacancies

    Thank you very much for this very useful information.
  9. A

    Wasira live tbc

    I wish you would have stopped calling us so Bro!!!! They made some of us believe so and we go on "proudly" calling ourselves so!!!! All in all it is too late for Wassira and Company to bring back the rubbish (constitution review bill) they had presented, for they have now got to abide by the...
  10. A

    Bishanga kafiwa na Baba yake Mzazi

    Pole sana kaka kwa msiba. Mwanga wa milele Mungu amwangazie na ampumzike kwa Amani!
  11. A

    Diwani wa Chadema akamatwa na Bunduki

    Ninakumbuka zamani kidogo ndani ya UVCCM niliambiwa kuwa kuna prapaganda nyeusi (uongo kwa 100%), kijivu (mchanganyiko wa ukweli na uongo, 50% kwa 50%) na nyeupe (ukweli tupu). Kwa jinsi ilivyotangazwa kwenye TV hii ni propaganda nyeusi. Kama CCM bado tunaamini kuwa propaganda nyeusi za kuchafua...
  12. A

    Omg its ma birthday!!!

    Heri ya Siku ya kuzaliwa Maria Roza! Mungu akubariki, kukuongoza na kukulinda katika njia zako zote!
  13. A

    NEC wajadili kuwavua uanachama wa CCM Lowassa, Rostam na Chenge

    It needs to happen NOW for the new secretariat to function.
  14. A

    Wilson Mukama awa katibu Mkuu mpya CCM na CC Mpya

    Mkulu William, thank you so much for this note to our newly elected/appointed leaders, it is my (our) hope that they will live to observe the points that you have mentioned above and some other which are very critical to the renewal of our party (CCM). I salute you and I am sure we will live to...
  15. A

    Susy kafiwa na Dada yake leo asubuhi

    Pole sana Susy kwa msiba na Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu!
Back
Top Bottom