Current Vacancies

mhh izo ngumu unatakiwa uwe una maviingereza kishenzi ...kutwa kiingereza mpka mdomo unauma nani anataka kazi ya hivo...
 
teh teh teh teh umenipa raha ati kumbe wanaojitia umombo kila kukicha lazima wapake salimia mdomoni!
 
kigogo acha kutuvunja mbavu haina haja ya viingereza man cha muhimu ujue basics tu!
mhh izo ngumu unatakiwa uwe una maviingereza kishenzi ...kutwa kiingereza mpka mdomo unauma nani anataka kazi ya hivo...
 
Nawafahamu wabongo wengi tu ADB, wenye qualifications changamkieni hizo kazi.
 
mhh izo ngumu unatakiwa uwe una maviingereza kishenzi ...kutwa kiingereza mpka mdomo unauma nani anataka kazi ya hivo...

Ha ha ha ha kweli kabisa yaani mpaka kichwa kinauma rafiki mavingereza yanachosha kweli yaani kha???
 
jamani kiingereza cha kazini sio kama cha darasani cha kazini ni simple sana unajua hata mimi jamaa kanichekesha sana!tusikimbie au tusiogope kazi sio lugha ni umakini tu wa mtu!
Ha ha ha ha kweli kabisa yaani mpaka kichwa kinauma rafiki mavingereza yanachosha kweli yaani kha???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom