Habari wanajamvi,
Kama heading ilivyo, naomba kwa wenye uzoefu na scholarship hii wanisaidie ufafanuzi wa kina kwa maeneo yafuatayo;
1. Nini huangaliwa zaidi mpaka mwombaji kuwa shortlisted
2. Makadirio ya idadi ya waombaji kwa Tanzania, na huwa wanapata wangapi kwa makadirio ya kila mwaka?
3...
Chuo hiki kina utaratibu wa kuwachukua graduate flani. Wanajifanya wanajitolea then wanatoa nafasi za kazi.
Picha linaanza yule anayejitolea kwao ana 95 the rest sasa😂😂😂
Lakini Kuna muda wanapenya wengine hasa kwa programs ambazo ndiyo kwanza wanazinanzisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.