Recent content by annampole

  1. A

    Mpambano: Mange Kimambi Vs Frank Gonga a.k.a Baba Bhoke

    Huyu Dada ana mtihani na hii dunia kila pande amezungukwa na maadui hadi watu wake wa karibu ni adui..
  2. A

    Wazazi waliniambia nisiolewe naye lakini sikuwasikiliza, sasa najuta sana

    Mimi ni mdada Nina miaka 27 niliolewa nikiwa na miaka 25 huyu mume wangu tulikutana kwa muda mfupi sikumjua sana wazazi walikataa wakaniambia atanisumbua lakin mimi nililazimisha mpaka tukafunga ndoa kanisani niliyoyaona nilikimbia mwenyewe sikuzaa Naye nashukuru wazazi wamenisamehe...
  3. A

    Ushauri wa haraka wana JF nahisi ntachukua maamuzi magumu

    Mapenzi yanaua oooh yanaua pole sanaaa
  4. A

    Kwanini wanaume wengi wa Tanzania hawapigi mswaki?

    Nahisi maisha yanawavuruga sanaaa.yaani Leo kwenye daladala kuna kaka huyo alikuwa anaongea ukiangalia meno unabaki na maswali halafu alikuwa amevaa shati ya makwapa wazi ni majasho tu yanamtokaa manywele yamemjaa hadi muda wa kunyoa hana maskini ama kweli uanaume kazii..
  5. A

    Mwanaume aliyekutoa bikra/mwanamke aliyekutoa bikra

    Namkumbuka sana alikuwa mwalimu wangu wa tuisheni form four yeye alikuwa amemaliza form six anasubiria matokeo...
  6. A

    Hivi wali una nini cha mno?

    Utakuwa unahisi halafu unatamani upate wali maharage wa kushiba
  7. A

    Nahitaji mwanamke anayejielewa kwa uhusiano mpaka ndoa

    I wish ningekuwa muislam Nina vigezo vyote kasoro Dini tu
  8. A

    Hivi kumbe mwanamke anaweza akampenda mwanaume

    Hata Mimi nimependaa utafikiri ameniroga hana kitu cha maana sura hana gari hana pesa hana lakini Mimi sioni siskii juu yake
  9. A

    Kwanini upo single?

    Bado nasubiria wangu atakuja tu
  10. A

    Shikamoo Kamikaze

    Waoooo....ana macho mazuri
  11. A

    Ushauri: wazazi wake walikataa asiolewe, yeye akalazimisha, sasa anakiona

    Habari wanajamii, Nomba mumshauri dada yangu, aliolewa mapema alipomaliza tu chuo lakini wazazi hawakupenda yeye akalazimisha wakamfanyia tu sherehe ndogo wakafunga ndoa kanisani, wazazi hawakupenda familia walimkataza hakusikia,. Sasa ameingia kwenye hii familia hii sio familia ya kuishi hata...
  12. A

    MREJESHO WA POST YA ''Kwa walimu walioko kazini au kwa yeyote atakayeguswa''

    Kiingereza kitakufanya ukose msaada...English ni shida mheshimiwaa
Back
Top Bottom