Pole sn bro .. Ni vyema umetambua Hilo mapema Sasa fanya Mambo yako kimyakimya Hawa wanawake wakati mwingine akili zao wanazijua wenyewe....Hawa wake zetu wakati mwingine lazima tutumie ubabe ili Mambo yaende
Anzeni na management yenu rushwa ya ngono na undugu vimetawala kwenye ajira zenu so mnategemea hao staff watakuwa na huduma nzuri? Chunguzeni ma hr wenu kwanza
Ww
Wanaume tunakwama Sana hivi unakutana na demu siku hyo hyo unakula tunda then unaamua kumuoa kabisa..hayo ndio matokeo yake na huenda hata mimba hakupata alikuchezea tu
Binafsi naona jamaa alikuwa na exposure kubwa sn...Cv yake inajieleza pia nadhani Mwl Nyerere alimuandaa Ben kuwa rais kwa mda mrefu sn baada ya kuona uwezo wake
Pole Sana kiongozi..inabidi usimame Kama mwanaume kwenye hili swala otherwise mkeo atakusumbua Sana..huna sababu ya kujishusha kwenye hili eti sijui outing sijui nini, hiyo Ni big no..Kama kuna kitu alikwazika kwako Sasa anashindwa kukwambia? Bro unyumba Ni haki yako hata kwenye mafundisho ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.