Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,427
- 21,118
Ameandika usitoke nje ya ndoa, yani utulie na mkeo.Yaani upate pesa halafu usitombe...E nje huo utakuwa uzwazwa wa kiwango cha lami..
Ameandika usitoke nje ya ndoa, yani utulie na mkeo.Yaani upate pesa halafu usitombe...E nje huo utakuwa uzwazwa wa kiwango cha lami..
Ndio nimeelewa. Sasa hiyo itakuwa pesa kweli?? Maana ukiwa na pesa lazma uitendee haki kutoka nje ya ndoa haikwepeki hata kidogo...Ameandika usitoke nje ya ndoa, yani utulie na mkeo.
Bado haujakuwa.Ndio nimeelewa. Sasa hiyo itakuwa pesa kweli?? Maana ukiwa na pesa lazma uitendee haki kutoka nje ya ndoa haikwepeki hata kidogo...
Mboka Tabora au??........kuna jamaa angu yupo huko anapasifia mno kwa Mambo ya kifundi
AsanteNenda Tanga hutokosa wataalamu kule.
jicho lipi mkuu? au jicho 😆Mganga yupo ila shariti akutafune jicho siku mbili.
Wakuu habari za jioni, bila shaka hapa JF hitaji langu linaweza tatuliwa. Nimekuja kuomba kuelekezwa niwapi nitampata mgaga mtaalamu wa ndagu za machimboni.
Nahitaji msaada wenu kwa yeyote anayejua mganga mwenye uwezo wa kunitimizia hitaji langu nahitaji kwenda machimboni, kutafuta pesa ya maisha kupitia ndagu za machimboni. Naomba mwenye kujua wapi naweza timiza lengo langu njoo PM kwa mawasiliano zaidi unipe muongozo maisha ni kujilipua jamani.
Tafadhali kila MTU na Iman yake kama iman hii haikuhusu pita kimya ila kwa wajuzi wa mambo haya karibuni nahitaji msaada wenu
Hii imekaaje mkuuTwenzetu Morogoro!
Andaa mawe ya ufukweni makundi mawili ya Mawe 21, 21
kuna jamaa yangu ana hela ya ndagu nae anakaa kwenye bonge la golofa ila anapikia kuni kwake alafu anakaa na mambuzi humo ndani ila jamaa ana hela balaa ukimuomba hata milioni 100 anakupa tuYaani upate pesa halafu usitombe...E nje huo utakuwa uzwazwa wa kiwango cha lami..
Hilo sharti sitaliweza,yaani nina hela nipo kwenye V8 halafu siku hizi kulivyo na watoto wenye chura kali, aiseeee.Yaani upate pesa halafu usitombe...E nje huo utakuwa uzwazwa wa kiwango cha lami..
Mganga yupo ila anaua mashine jogoo anakuwa hapandi mtungi na unatajirika je upo tayari?Wakuu habari za jioni, bila shaka hapa JF hitaji langu linaweza tatuliwa. Nimekuja kuomba kuelekezwa niwapi nitampata mgaga mtaalamu wa ndagu za machimboni.
Nahitaji msaada wenu kwa yeyote anayejua mganga mwenye uwezo wa kunitimizia hitaji langu nahitaji kwenda machimboni, kutafuta pesa ya maisha kupitia ndagu za machimboni. Naomba mwenye kujua wapi naweza timiza lengo langu njoo PM kwa mawasiliano zaidi unipe muongozo maisha ni kujilipua jamani.
Tafadhali kila MTU na Iman yake kama iman hii haikuhusu pita kimya ila kwa wajuzi wa mambo haya karibuni nahitaji msaada wenu
kuna jamaa yangu ana hela ya ndagu nae anakaa kwenye bonge la golofa ila anapikia kuni kwake alafu anakaa na mambuzi humo ndani ila jamaa ana hela balaa ukimuomba hata milioni 100 anakupa tu
Dah inamaana nisitoke nje ya ndoa maisha yangu Yote?Nenda makambako kuna sehem inaitwa isoliwaya Apo kuna Bibi kiboko mashart ake hakuna kutoka nje ya ndoa mengne siyajui
Nenda pia iringa sehem inaitwa igang dung'u kiponzelo huko kuna mtu anaitwa ziku.....Kila la kher mkuu
Hilo sharti sitaliweza,yaani nina hela nipo kwenye V8 halafu siku hizi kulivyo na watoto wenye chura kali, aiseeee.
apo kwenye kutoka nje ya ndoa mtiani mkuu ilo sharti libadilishwe hahahahahahaNenda makambako kuna sehem inaitwa isoliwaya Apo kuna Bibi kiboko mashart ake hakuna kutoka nje ya ndoa mengne siyajui
Nenda pia iringa sehem inaitwa igang dung'u kiponzelo huko kuna mtu anaitwa ziku.....Kila la kher mkuu