rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,472
- 41,865
Ubinafsi mkuu ndo maana me naona bora kuoa ushafanikiwa kimaishaa...lasivyo mwanamke atakusumbua sanaHilo tatizo,yaani ubinafsi ni hasara kubwa sana kwenye mahusiano,alafu ukifanikiwa unakuta yeye ndo kimbelembele kujivunia uliyo yafanya na kuji proud kwa jamii iliyo wazunguka.