Recent content by Ankazominiotra

  1. A

    Lissu achana na stori za risasi, panga hoja zako utawafanyia nini Watanzania

    Namshauri astaafu siasa, maisha hayatamtupa mkono atafanikiwa kivingine yeye na familia yake.
  2. A

    Rais Vladimir Putin: Afrika haitokaa iwe huru

    Hata hizi tunazoita nchi zetu tuliwekewa mipaka na wazungu, walipotuacha tujiongoze wenyewe hizo nchi zikageuka miradi ya watu wachache.
  3. A

    Jamii inaipa uzito sana ajira, kwani hakuna vyanzo vingine vya pesa?

    Angalizo zuri. Ila hapo mwishoni umezimua uzito wa ajenda, pigia chapuo kujiajiri mkuu (japo kujiajiri si neno ninalopenda kulitumia - bado linafanya tuone ajira ndiyo kila kitu)
  4. A

    Asiwadanganye mtu, CHADEMA ilionekana tishio sana na mambo inayokabili ni mkakati uliopangwa - hata NCCR Mageuzi wakipanda watakabili hayo hayo!

    Asante mkuu, najua sana kuwa nawe hufurahii kabisa mambo yanayoendelea kwa vile mara zote umesimama kutetea haki (humu jukwaani). Bila kusema mengi niseme tu kuwa tatizo lililokuja kufanya wana wa nchi tukageuka ni tangu pale siasa ilipokuja kufanywa "deal", yaani ndiyo about the highest paying...
  5. A

    Asiwadanganye mtu, CHADEMA ilionekana tishio sana na mambo inayokabili ni mkakati uliopangwa - hata NCCR Mageuzi wakipanda watakabili hayo hayo!

    Mimi nimekuwa nikiililia nchi hii mpaka nikakubali kuwa kwa kizazi chetu (na huenda kijacho) kuyaona mabadiliko yatarajiwayo itakuwa ngumu. Tatizo kubwa la watu wetu wana-promote sana 'destructive mindset" (na inashangiliwa) badala ya constructive mindset. Yaani tunapenda sana egosystem badala...
  6. A

    Asiwadanganye mtu, CHADEMA ilionekana tishio sana na mambo inayokabili ni mkakati uliopangwa - hata NCCR Mageuzi wakipanda watakabili hayo hayo!

    Ni kweli huo mfumo ni jambo zuri, tatizo linakuja kwenye ukweli kuwa kila kitu kinachokuwepo kina "conditions" zake. Kwa habari hii conditions ni mbili: 1) utashi na 2) uwezo wa wananchi kuupigania mfumo. Ndiyo tunarudi kwenye point zako kuwa walioko kwenye mamlaka wanatumia utashi wao...
  7. A

    Asiwadanganye mtu, CHADEMA ilionekana tishio sana na mambo inayokabili ni mkakati uliopangwa - hata NCCR Mageuzi wakipanda watakabili hayo hayo!

    Yote hayo ni kudhihirisha kuwa mfumo wa vyama vingi haukutakiwa tangu pale ulipoanzishwa. Wafanye tu turudi kwenye mfumo wa chama kimoja, tuache kuishi uongo.
  8. A

    Nimedhamiria kuacha Chuo ili nijiajiri

    Tafuta mentor wa kukuongoza katika njia unayotaka kuifuata.
  9. A

    Hii tabia ya kudharau simu za Tecno itakwisha lini?

    Tochi ikiwa ON ikagusa ngozi inaunguza kweli
  10. A

    Kwenye hili la COVID19, naweza kuona mahesabu ya Rais Magufuli. Je, tumuunge mkono?

    Kwa kweli! Unachokiona wewe ndicho ninachokiona mimi. Kila nikisoma maelezo ya watu humu yaani wanazungumzia vitu tofauti kabisa na maana halisi. Na siyo kwenye kuielezea/kuifahamu lockdown tu.
  11. A

    Tanzania hakuna chama cha upinzani chenye sifa za kuwa chama cha upinzani

    Exactly! Tatizo kubwa la watanzania wanapenda sana kuwa vuguvugu, si moto wala si baridi. Jamaa hataki hata kugusia utaratibu wa uchaguzi unavyoendeshwa, ana-base argument zake kwenye kitu kingine kabisa ili tu aingize ajenda za kuwapeleka watu atakako yeye. Halafu mkuu afadhali umerudi JF maana...
  12. A

    List: Wanaotaka lockdown, tusijilinganishe nao

    Nilikuwa namjibu mkuu Missile Of The Nation
Back
Top Bottom