Tanzania hakuna chama cha upinzani chenye sifa za kuwa chama cha upinzani

Wenye uwezo wa kuamua hivyo ni WAPIGA kura kwenye Uchaguzi huru na wa haki chini ya tume huru ya Uchaguzi. Kama Watanzania wanaona kwamba hakuna chama cha upinzani chenye kustahili kukabidhiwa nchi basi wataamua hivyo.
Naunga mkono hoja yako, na ndicho kinachotokea Tanzania mwaka hadi mwaka kwa Watanzania huwa wanaamua kuwakabidhi nchi, wale wanaostahili!.
P
 
ACT chama cha Zito, CUF chama Lipumba, CHADEMA chama cha Mbowe, NCCR chama cha Mbatia nk. sioni chama cha upinzani hata akichaguliwa rais anaweza kupigwa makofi na mwenyekiti au kufukuzwa chama.

Mtazamo wangu baada ya uchaguzi 2020 kiongozi na mmiliki wa chama kimoja wapo aachie chama kiwe cha wananchi, chama kijengwe na mfumo kama ilivyo CCM, mtanzania mwenyewe sifa aweze kuwa mwenyekiti.

Watanzania niwapole na wastaarabu sana siasa za kibabe zitupiliwe mbali zifanywe siasa za kistaarabu kwa kutumia akili nyingi kuliko ubabe maana kukunja ngumi kwa panga atakae umia ni alokunja ngumi.

Nimtazamo wangu tu.
Mmezoea "Status Quo"; hata CCM si chama, kimehodhi madaraka kwa nguvu "thugs"; wanatumia jeshi na polisi kujihalalisha, na kutegemea wananch 90% ambao hawana elimu, au hata elimu yao ambayo ni "CCM authorised syllubus".. Tanzania kuna Factional politics na hooliganism.
 
Kauli za kipuuzi ambazo CHADEMA inaitwa SACCOS mzee wetu mwanzilishi wa chama anachungulia tu kibubu kimejaa kiasi gani pembeni akiwepo mkwewe.
Ccm sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha dola kilichovaa koti la chama cha siasa. Ukishaona chama kinategemea vyombo vya dola kukaa madarakani na sio ushawishi wa kisiasa, basi ujue hapo una genge hatari sana.
 
Mmezoea "Status Quo"; hata CCM si chama, kimehodhi madaraka kwa nguvu "thugs"; wanatumia jeshi na polisi kujihalalisha, na kutegemea wananch 90% ambao hawana elimu, au hata elimu yao ambayo ni "CCM authorised syllubus".. Tanzania kuna Factional politics na hooliganism.
Tena Watanzania jujisifie sana kuwa na CCM chama chenye mfumo bora sana duniani ndo maana kipidi hiki utamsikia Kiongozi huyu na yule lkn kwa wapinzani utasikia walewale tangu upinzani uanzishwe
 
Wacha kujitoa ufahamu wewe! Kama ndiyo hivyo kwanini hao ccm hawataki kuwepo kwa tume huru ya Uchaguzi badala ya hii tume FAKE ya Uchaguzi?
Kwa mujibu wa sheria iliyoanzisha Tume ya Uchaguzi, NEC ni tume huru kwa mujibu wa sheria, ila sio shirikishi!, maana yake NEC is independent but not inclusive.
Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais - JamiiForums

TV Prog. Alert: Tume ya Uchaguzi, NEC, Yajibu Hoja za JF Kuhusu Uchaguzi Huru na Wa Haki! - JamiiForums

Hakuna kitu kizuri, kama kuukubali ukweli jinsi vile ulivyo!.
Huu ndio ukweli kuwa NEC ni Tume Huru!.
P
 
Wacha ujinga wewe! Tume yote inateuliwa na dikteta ambaye hataki Wapinzani wafanye lolote lile na wasimamizi wa Uchaguzi ni DCs ambao WAMESHATISHWA, “Nakuteua, nakupa ajira, mshahara, nyumba, gari, halafu umtangaze mpinzani eti kashinda Uchaguzi.”

Huu UZWAZWA unaotaka kuonyesha humu mpaka lini!? Oops! I forgot that you’re chasing that lucrative TEUZI.

Kwa mujibu wa sheria iliyoanzisha Tume ya Uchaguzi, NEC ni tume huru kwa mujibu wa sheria, ila sio shirikishi!, maana yake NEC is independent but not inclusive.
Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais - JamiiForums

TV Prog. Alert: Tume ya Uchaguzi, NEC, Yajibu Hoja za JF Kuhusu Uchaguzi Huru na Wa Haki! - JamiiForums

Hakuna kitu kizuri, kama kuukubali ukweli jinsi vile ulivyo!.
Huu ndio ukweli kuwa NEC ni Tume Huru!.
P
 
ACT chama cha Zito, CUF chama Lipumba, CHADEMA chama cha Mbowe, NCCR chama cha Mbatia nk. sioni chama cha upinzani hata akichaguliwa rais anaweza kupigwa makofi na mwenyekiti au kufukuzwa chama.

Mtazamo wangu baada ya uchaguzi 2020 kiongozi na mmiliki wa chama kimoja wapo aachie chama kiwe cha wananchi, chama kijengwe na mfumo kama ilivyo CCM, mtanzania mwenyewe sifa aweze kuwa mwenyekiti.

Watanzania niwapole na wastaarabu sana siasa za kibabe zitupiliwe mbali zifanywe siasa za kistaarabu kwa kutumia akili nyingi kuliko ubabe maana kukunja ngumi kwa panga atakae umia ni alokunja ngumi.

Nimtazamo wangu tu.
. mkuu hata chama tawala hatuna,tunatawaliwa na Jeshi tu
 
Ni wizi na ufisadi mtindo mmoja hadi CAG anaonekana ni adui wa Serikali anaondolewa KINYEMELA na huyo mpya ANATISHWA hadharani na maeneo mengine ya matumizi ya Serikali kulikojaa wizi na ufisadi HARUHUSIWI kukagua kinyume na sheria za Nchi.

Kama upinzani hamna basi hata chama tawala hamna kitu, miaka zaidi ya 50 hakuna cha maana kinachofanywa na CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha ujinga wewe! Tume yote inateuliwa na ... ambaye hataki Wapinzani wafanye lolote lile
Serikali yote inateuliwa na huyo huyo, mbona waote tunapata huduma zote za serikali au za umma?, umaishawahi kutaka huduma yoyote ya umma, ukaulizwa wewe ni chama gani na baada ya kuwaambia wewe ni mpinzani, ukanyimwa huduma kwa sababu ni mpinzani?!.

Mahakama yote inateuliwa na yeye, kila siku Chadema wanakimbilia mahakamani kudai haki zao, kama mahakama ni huru na yote inateuliwa na mtu yule yule, why NEC isiwe huku kwa kuteuliwa na mtu yule yule?!.

Ama kweli mkataa pema, pabaya panamwita!, ndani ya Bunge kuna wabunge zaidi ya 100 wa upinzani waliotokana na tume hii hii ambayo sio huru, kati ya hou, Chadema ina wabunge 35 wa kuchaguliwa majimboni, bila kuwahesabu wale wa viti maalum ambao waliteuliwa baada ya ..., sasa tusubiri matokeo ya mwaka huu, halafu tutakuta humu humu tukumbushane!

Lile katazo la kufanya siasa, lengo lake ni zuri, baada ya uchaguzi watu wafanye kazi na sio kukalia siasa, huu ni mwaka wa uchaguzi, June kipenga kinapulizwa, ila very unfortunately, this time around, kinyozi yuko standby kuwanyoa vipara watu fulani, hivyo baada ya October, hizi kelele zote zitakwisha!.

P
 
Namimi naunga mkono hoja kama Paskali lakini naona umeanza na mtazamo hasi kama vile ni vyama vya watu ambao umewataja halafu ukasifia CCM viwe kama hivyo bora ungesema at Least kama ANC cha South Africa CCM wenyewe mwenyekiti ndio taswira ya chama chao ila upinzani ni wa wananchi wanaotaka maisha yao yaweje na jinsi gani waongozwe..
 
Serikali yote inateiliwa na huyo huyo, mbona waote tunapata huduma zote za serikali au za umma?, umaishawahi kutaka huduma yoyote ya umma, ukaulizwa wewe ni chama gani na baada ya kuwaambia wewe ni mpinzani, ukanyimwa huduma kwa sababu ni mpinzani?!.

Mahakama yote inateuliwa na yeye, kila siku Chadema wanakimbilia mahakamani kudai haki zao, kama mahakama ni huru na yote inateuliwa na mtu yule yule, why NEC isiwe huku kwa kuteuliwa na mtu yule yule?!.

Ama kweli mkataa pema, pabaya panamwita!, ndani ya Bunge kuna wabunge zaidi ya 100 wa upinzani waliotokana na tume hii hii ambayo sio huru, kati ya hou, Chadema ina wabunge 35 wa kuchaguliwa majimboni, bila kuwahesabu wale wa viti maalum ambao waliteuliwa baada ya ..., sasa tusubiri matokeo ya mwaka huu, halafu tutakuta humu humu tukumbushane!

Lile katazo la kufanya siasa, lengo lake ni zuri, baada ya uchaguzi watu wafanye kazi na sio kukalia siasa, huu ni mwaka wa uchaguzi, June kipenga kinapulizwa, ila very unfortunately, this time around, kinyozi yuko standby kuwanyoa vipara watu fulani, hivyo baada ya October, hizi kelele zote zitakwisha!.

P
Pascali,
Hata Hizbolla ya Lebanon inatoa huduma zuri kwa wananchi wote wa Lebanoni na inasifiwa, answer, hakuna alternative.

Mahakama: haaaa, tumeshazoea, hiyo ndiyo mazoea, lakni yote ni kubahatisha. Sasa hivi mkuu kageuza sheria, mahakama ni source ya revenue siyo mahali pa kuto haki. it is just a survival ndiyo tunahitaji. hakuna mbadala

Paskali hawa wabunge 35 waliingia kwa kutumia nguvu nyingi, na CCM waliona aibu, lakini vile vile ni kama waliifanya ku "authorize" hao 35 kwa kuwa bwana dhaifu alikuwa kidogo mwelewaji, lakini huyu, hata "authorize" hata mmoja.

Halafu ati unategemea mwaka huu kuna uchaguzi?? Na corona hii hapa, mkuu anategemea mabavu au corona imsaidie.

read his mind!
 
Kama upinzani hamna basi hata chama tawala hamna kitu, miaka zaidi ya 50 hakuna cha maana kinachofanywa na CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Pascali,
Hata Hizbolla ya Lebanon inatoa huduma zuri kwa wananchi wote wa Lebanoni na inasifiwa, answer, hakuna alternative.

Mahakama: haaaa, tumeshazoea, hiyo ndiyo mazoea, lakni yote ni kubahatisha. Sasa hivi mkuu kageuza sheria, mahakama ni source ya revenue siyo mahali pa kuto haki. it is just a survival ndiyo tunahitaji. hakuna mbadala

Paskali hawa wabunge 35 waliingia kwa kutumia nguvu nyingi, na CCM waliona aibu, lakini vile vile ni kama waliifanya ku "authorize" hao 35 kwa kuwa bwana dhaifu alikuwa kidogo mwelewaji, lakini huyu, hata "authorize" hata mmoja.

Halafu ati unategemea mwaka huu kuna uchaguzi?? Na corona hii hapa, mkuu anategemea mabavu au corona imsaidie.

read his mind!
Uchaguzi wa nini wakati hakuna chama cha upinzani chenye sifa? Vilivyopo ni mali za watu sio wananchi
 
Pascali,
Hata Hizbolla ya Lebanon inatoa huduma zuri kwa wananchi wote wa Lebanoni na inasifiwa, answer, hakuna alternative.

Mahakama: haaaa, tumeshazoea, hiyo ndiyo mazoea, lakni yote ni kubahatisha. Sasa hivi mkuu kageuza sheria, mahakama ni source ya revenue siyo mahali pa kuto haki. it is just a survival ndiyo tunahitaji. hakuna mbadala

Paskali hawa wabunge 35 waliingia kwa kutumia nguvu nyingi, na CCM waliona aibu, lakini vile vile ni kama waliifanya ku "authorize" hao 35 kwa kuwa bwana dhaifu alikuwa kidogo mwelewaji, lakini huyu, hata "authorize" hata mmoja.

Halafu ati unategemea mwaka huu kuna uchaguzi?? Na corona hii hapa, mkuu anategemea mabavu au corona imsaidie.

read his mind!
Uchaguzi wa nini wakati hakuna chama cha upinzani chenye sifa za kuwa chama cha wananchi. Hela ya uchaguzi bora ijenge miundo mbinu
 
Wenye uwezo wa kuamua hivyo ni WAPIGA kura kwenye Uchaguzi huru na wa haki chini ya tume huru ya Uchaguzi. Kama Watanzania wanaona kwamba hakuna chama cha upinzani chenye kustahili kukabidhiwa nchi basi wataamua hivyo.
Exactly! Tatizo kubwa la watanzania wanapenda sana kuwa vuguvugu, si moto wala si baridi. Jamaa hataki hata kugusia utaratibu wa uchaguzi unavyoendeshwa, ana-base argument zake kwenye kitu kingine kabisa ili tu aingize ajenda za kuwapeleka watu atakako yeye.
Halafu mkuu afadhali umerudi JF maana nilikosa 'madini' yako, wewe ni mmoja wa wachache ambao sio vuguvugu kabisa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Namimi naunga mkono hoja kama Paskali lakini naona umeanza na mtazamo hasi kama vile ni vyama vya watu ambao umewataja halafu ukasifia CCM viwe kama hivyo bora ungesema at Least kama ANC cha South Africa CCM wenyewe mwenyekiti ndio taswira ya chama chao ila upinzani ni wa wananchi wanaotaka maisha yao yaweje na jinsi gani waongozwe..
Nimetoa mfano wa CCM kwasababu ubadirisha mwenyekiti kila baada ya miaka 10 lakini hao wengine kwasababu ya kuvianzisha hivyo vyama hakuna kubadili mwenyekiti na vyama vinakua mali ya mwanzilishi jambo ambalo ni hatari
 
ACT chama cha Zito, CUF chama Lipumba, CHADEMA chama cha Mbowe, NCCR chama cha Mbatia nk. sioni chama cha upinzani hata akichaguliwa rais anaweza kupigwa makofi na mwenyekiti au kufukuzwa chama.

Mtazamo wangu baada ya uchaguzi 2020 kiongozi na mmiliki wa chama kimoja wapo aachie chama kiwe cha wananchi, chama kijengwe na mfumo kama ilivyo CCM, mtanzania mwenyewe sifa aweze kuwa mwenyekiti.

Watanzania niwapole na wastaarabu sana siasa za kibabe zitupiliwe mbali zifanywe siasa za kistaarabu kwa kutumia akili nyingi kuliko ubabe maana kukunja ngumi kwa panga atakae umia ni alokunja ngumi.

Nimtazamo wangu tu.
Naunga mkono
 
Bila vyombo vya dola na mtandao uliojengwa enzi za kudai uhuru, CCM haina tofauti sana na vyama vingine. Kumbuka sakata la makatibu wakuu wawili waliopita.
Ukijadili vyama vya siasa Tanzania bila ushabiki utapata picha halisi za wanasiasa ndani ya vyama vyao.
Bila kuwa na Mwenyekiti kama Rais Magufuli CCM ingetetereka sana.
 
Nimetoa mfano wa CCM kwasababu ubadirisha mwenyekiti kila baada ya miaka 10 lakini hao wengine kwasababu ya kuvianzisha hivyo vyama hakuna kubadili mwenyekiti na vyama vinakua mali ya mwanzilishi jambo ambalo ni hatari
Kwa hiyo jambo la msingi ni kubadilisha uongozi tu hata kama kiongozi amepotoka ni sawa aachwe mpaka miaka kumi mnatujengea nchi ya watu wasiowajibika kwa mgongo wa vyama sijui ni Taifa gani mnataka kujenga hili.
 
Back
Top Bottom