List: Wanaotaka lockdown, tusijilinganishe nao

List: Wanaotaka lockdown, tusijilinganishe nao

Lengo la lockdown ni kucontain maambukizi baina ya watu..

Mkuu umewah jiuliza kwan nini China haikuishia kulock Wuhan kama mji ila ikaenda mbali zaidi kulock watu majumbani..?

Kuwa na lockdown katika level ya mji lakn haiaddress lengo mama la lockdown ambalo ni kudhibiti maambukizi baina ya watu its nonsense..

Hizi lockdown za kulock miji kwa lengo la kuwatoa muhanga watu walio ndani ya mji husika kwa mtizamo wako unadhan ni fair na serikali ndio itahesabika imelinda watu wake.? Yah kufunga mji halafu unaruhusu watu waishi kawaida ni sawa na kuwatoa watu muhanga..!

Je, kama taifa can we afford gharama ya lockdown inayo address lengo mama la lockdown la kudhibiti watu wasiambukizane kama China.?

Achilia mbali sabb za kiuchumi.

Nani kakwambia China nzima watu walifungiwa majumbani?. Lockdown ya nyumba kwa nyumba ilikuwa katika jimbo la Hubei tu. Kwenye miji mingine walifunga safari za treni, mabasi, ndege etc ili watu wa mji mmoja wasiende miji mingine (Walivyokuwa wahuni wakaachia international flights ziendelee)

Ni rahisi kudeal na cases katika mji mmoja mmoja kuliko kuacha ugonjwa usambae nchi nzima.

Kuhusu uwezekano wa watu wa mji mmojammoja kuendelea kuambukizana, hiyo ni disadvantage ya kutofungia watu ndani ya nyumba kama wachina walivyofanya lakini heri mji mmoja ufe kuliko nchi nzima ife!. Hakuna equality katika kifo bali equality kwenye haki ya kuishi!
Ni bora ukate mguu ili kansa isienee mwili mzima.
Nakuhakikishia, Ikipiga Ebola Dar, Dar itafungwa kwa namna wanazojua wao. na hizi hoja zako za kuwaza usawa kwenye kufa hutozisikia.

Kinachofanyika nchini ni ubishi tu wa JPM, kwanza kalidharau tatizo, kaliita kaugonjwa kadogo, kaita kuwa ni shetani atakayeendoka kwa damu ya Yesu, Kasema tusitishane. Denial yake hii ndo inaset response ya ugonjwa. Yaani haamini kuwa Korona ni tatizo kubwa sana.
Kama angeiona Corona ni Ugonjwa mkubwa wa level za Ebola angetoa response inayohitajika
 
1. Freeman Mbowe ni mtoto wa tajiri na leo ni bilionea. Tangu utoto haijui shida hajui kuishiwa hajui kukosa ada hajui kutembea na vyeti kutafuta kazi. Anaweza kuamua hata kesho akae ndani miaka na bado afurahie maisha; sio wa kujilinganisha naye. Ukiona anambea lockdown nje ya eneo la Bunge jua kashiba; shibe ni mwanamalevya .USIMUIGE UTAKUFA NJAA

2. Fatma Karume, babu rais, baba mdogo rais pia ana baba mkubwa waziri kwa awamu kibao. Amekulia ikulu hajui hata kuishiwa; hajui shida nini, hajawahi kukosa chakula, hajawahi kuhangaika kuhaso na maisha. Akikwambia lockdown ni njia bora temea mate chini uondoke. UTAKUFA KWA NJAA NDANI KWAKO

3. Zito Kabwe, yeye ana mihula mitatu bungeni anakula pesa na kiinua mgongo, hajui dhiki kwa sasa japo ameipitia. Amesahu amekengeuka hajui shida. Ameshiba anachofikiria ni siasa. Leo wewe na yeye mkikaa ndani, yeye anakuwa kama yupo peponi anatuombea tuwekwe lockdown, hatupendi. UKIMUIGA UTAFIA NDANI, OGOPA.

4. WABUNGE, soon Bunge litavunjwa watakula zaidi ya mil 200 plus na bado wana mshahara wa zaid 9 milioni kwa mwezi; hata wakikaa ndani nao wanomba lockdown halafu kuna watu hawajui hata kesho wale nini wanaunga mkono, very poor. MTAKUFA NYIE, PIGENI KAZI.

U.S.A taifa kubwa leo watu wako mtaani hawataki kuwekwa ndani maisha magumu uchumi wa familia unakufa, wewe Mtanzania unalilia lockdown.

Ujerumani pamoja na kuwa ndio taifa lenye uchumi bora ulaya watu wamegoma licha ya kuwa na kesi zaidi yetu wameruhusu kurejea makazini.

Italy, Spain, Japan, Bolivia. Indian. Pakistan. na n.k wameanza kuruhusu watu kutoka maana hali si hali. Wewe Mtanzania mwenzangu kibarua cha siku ndio ule unawaiga wanasiasa. UTAKUFA KWA NJAA, TOKA KAPIGE KAZI.

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app


Lockdown hata serikali wakitumia nguvu iwepo, haitawezekana

Wananchi hawataki
 
Lockdown hata serikali wakitumia nguvu iwepo, haitawezekana

Wananchi hawataki

Hakuna mwananchi anayetaka watu wafe kwa korona

By the way hakuna aliyekuwa anapropose total lockdown.

Wananchi wanataka kuona serikali yao ikiwa responsible kuzuia kusambaa kwa korona.
 
1. Freeman Mbowe ni mtoto wa tajiri na leo ni bilionea. Tangu utoto haijui shida hajui kuishiwa hajui kukosa ada hajui kutembea na vyeti kutafuta kazi. Anaweza kuamua hata kesho akae ndani miaka na bado afurahie maisha; sio wa kujilinganisha naye. Ukiona anambea lockdown nje ya eneo la Bunge jua kashiba; shibe ni mwanamalevya .USIMUIGE UTAKUFA NJAA

2. Fatma Karume, babu rais, baba mdogo rais pia ana baba mkubwa waziri kwa awamu kibao. Amekulia ikulu hajui hata kuishiwa; hajui shida nini, hajawahi kukosa chakula, hajawahi kuhangaika kuhaso na maisha. Akikwambia lockdown ni njia bora temea mate chini uondoke. UTAKUFA KWA NJAA NDANI KWAKO

3. Zito Kabwe, yeye ana mihula mitatu bungeni anakula pesa na kiinua mgongo, hajui dhiki kwa sasa japo ameipitia. Amesahu amekengeuka hajui shida. Ameshiba anachofikiria ni siasa. Leo wewe na yeye mkikaa ndani, yeye anakuwa kama yupo peponi anatuombea tuwekwe lockdown, hatupendi. UKIMUIGA UTAFIA NDANI, OGOPA.

4. WABUNGE, soon Bunge litavunjwa watakula zaidi ya mil 200 plus na bado wana mshahara wa zaid 9 milioni kwa mwezi; hata wakikaa ndani nao wanomba lockdown halafu kuna watu hawajui hata kesho wale nini wanaunga mkono, very poor. MTAKUFA NYIE, PIGENI KAZI.

U.S.A taifa kubwa leo watu wako mtaani hawataki kuwekwa ndani maisha magumu uchumi wa familia unakufa, wewe Mtanzania unalilia lockdown.

Ujerumani pamoja na kuwa ndio taifa lenye uchumi bora ulaya watu wamegoma licha ya kuwa na kesi zaidi yetu wameruhusu kurejea makazini.

Italy, Spain, Japan, Bolivia. Indian. Pakistan. na n.k wameanza kuruhusu watu kutoka maana hali si hali. Wewe Mtanzania mwenzangu kibarua cha siku ndio ule unawaiga wanasiasa. UTAKUFA KWA NJAA, TOKA KAPIGE KAZI.

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mtupu

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Naunga mkono maoni yako. Lockdown, hapana. Lakini watu wakitoka nje wafuate maelekezo yatolewayo na wataalamu wa afya. Kusiwe na msongamano wa watu; watu wavae barakoa; wanawe mikono mara kwa mara; kuingia ofisini au supermarket mtu apimwe joto; n.k. Kwenye ibaada kusiwe kama ilivyoonekana Ijumaa kwenye msikiti wa Kariakoo. Sokoni pia kuwe na utaratibu wa kutosongamana. Kama tahadhari hizi zikifuatwa, bila shaka tutashinda.
Basi hiyo sio lockdown

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo la lockdown ni kucontain maambukizi baina ya watu..

Mkuu umewah jiuliza kwan nini China haikuishia kulock Wuhan kama mji ila ikaenda mbali zaidi kulock watu majumbani na kuzuia shughul za kibiashara..?

Kuwa na lockdown katika level ya mji lakn haiaddress lengo mama la lockdown ambalo ni kudhibiti maambukizi baina ya watu its nonsense..

Hizi lockdown za kulock miji kwa lengo la kuwatoa muhanga watu walio ndani ya mji husika kwa mtizamo wako unadhan ni fair na serikali ndio itahesabika imelinda watu wake.? Yah kufunga mji halafu unaruhusu watu waishi kawaida ni sawa na kuwatoa watu muhanga..!

Je, kama taifa can we afford gharama ya lockdown inayo address lengo mama la lockdown la kudhibiti watu wasiambukizane kama China.?

Achilia mbali sabb za kiuchumi.
Unalinganisha Tanzania na China

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hawana uwezo wa kutafakari kwa kina kama wewe wamebaki kuleta ubishi wa kitoto na kuleta ushabiki kwa kuwa wanalipwa vijisenti na mabwana zao.
kinachowasumbua nyinyi ni uelewa kuhusu lockdown au mmeamua kupotosha makusudi, labda mgeuliza lockdown ya namna gani?.

Kupiga karantini miji ili ugonjwa usisambae nchi nzima ni jambo la kawaida katika utabibu.

Hata kipindupindu kikipiga sana kwenye miji, miji hiyo hufungwa kuzuia watu wa miji mingine kuingia au watu wa mji ulioathirika kutoka.

Lockdown ina levels zake, tunaweza tusiwe na uwezo wa kuwafungia watu majumbani mwao lakini kufunga miji iliyoathirika zaidi hilo lilikuwa ndani ya uwezo wetu.

Sasa hivi korona inatafuna watu ile mbaya, huo uchumi unaoulilia hautawasaidia waliokufa kwa korona.

Serikali imeshindwa kulinda watu wake
 
Leo nilipita pale mbagala bus terminal yaani hali inatisha na ni mungu tu anatunusuru
Lockdown sio rahiso kama baadhi wanavyotaka ionekane ila swala la watu kujazana bar, kuzurura bila sababu, mikusanyiko isiyo ya lazima tena bila kujikinga ni janga na ndio haswa litakalotumaliza.

I wish watu wangetumia common sense tu wakajitahidi kujilinda na kuepuka niliyoyataja hapo juu maana huku mtaani kunasikitisha sana.

In God we Trust
 
Kuna watu katika nchi hii Wana roho mbaya ushahidi wanaona kabisa katika nyingine hali ilivyo lakini wanalazimisha lockdown

Kwanini hawaji na plan B wao ni lockdown sijui wanataka nini? Yaani mpaka wanakera sana na hawa watu ukiwachekea wanaingiza nchi kwenye matatizo
Toa suluhisho basi maana elimu haina mwisho

In God we Trust
 
Uchumi ulishajifia kitambo, sasa wamepata kisingizio
Mbona uchumi umekufa zamani au ndio nyinyi mnaona kupewa buku saba za bia hapo Lumumba ndio uchumi umekuwa ??

In God we Trust
 
Mizungu hiyo hiyo mnayo ipigia magoti kuomba misaada!
Walitaka lockdown ili wasifiwe na mizungu sasa mizungu imefungua lockdown imewashinda hawa wamatumbi nao watabadilisha gia angani, bendera fuata upepo.

In God we Trust
 
Back
Top Bottom