Kummk mi ata wafanyeje ni kwamba tayari washajilipa mchongo umeisha kiivyo. Ata waedit picha nafanyaje haina noma acha nidharirika lakin nao imekula kwao
Kwa kiasi aalichonidhLilisha ni kwamba mchongo umeishia apo
***** hawa jamaa wanakera mno asee , wana mikwara balaa, wanapiga sound za hatari
Yaani kwa siku wanapiga simu mpaka 100, sms zaidi ya 50 aisee
Sasa kwa vile wanapenda kudhalilisha watu basi tufanye watakuwa wanajilipa kwa matusi na udhalilishaji wao
Aisee wazee tayari mmeshajilipa kmmk...
Siyo una gari inayotumia engine sawa na Crown apana
Sema ivi nina mark x yenye engine ya 4Gr
Kumbuka Crown na mark x zinatumia spare sawa yaani kuanzia engine mpaka gia box zote zinatumia sawa
Tofauti ya Mark x na Crown inakuja kwenye muundo wa body tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.