Hao ndo waandishi tunao wataka. Mikutano ya lowasa inatia raha bana, yaani unafurahi, unafarijika nakuona kama umetua mzigo.fulani hivi.
Tunaomba Mungu ampe ridhaa ya kutuongoza, aondoshe hila zote za wizi na.kuhujumu.uchaguzi
Wanawake tuache uchoyo bana, kuna raha yake kumnunulia mpenzio zawadi.
Mi si mjuzi sana wa nguo za kiume ila huwa nadesa kwa wanaume wengine nikiona wamevaa kiatu au shati zuri lazima nikisake madukani kama hela inaruhusu au kama staffmate wangu namuomba ana nisinfikiza naenda nunua.
Zawadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.