Naumbuka! Nina Kibamia na nawahi kufika kileleni

tatizo niliowah kuwa nao wanasema siwafiksh na hawana shida na mm

Tafuta hela wewe uwe na hela ya kuwapa uone kama watakukimbia kwa sababu kibamia chako,huna hela ndio maana wanakukimbia kwa kisingizio cha kibamia
 
DU... NGOJA NIKUPE DAWA WALIYOKUWA WANATUMIA WAZEE WA ZAMANI...
Hahahaaa pole jmn ndio Mungu na mipango yake but jiamini utapata wa size yako.

Angalizo... ktk kusaka unayeendana naye angalia vidole vyake vya miguu na mikono kama vifupi ujue naye ni wa team kibamia kama wewe na utaendana nayee ksaaa lbd kama anawengee ndio akuache.

Ukikuta mwenye virefu kama vyangu babuwee usithubutuuu maana kiukweli KIBAMIA CHAKO kibaishia mlangoni ulipobishia hodii na ndani hakiingii na hapo sijapiga chafya,sijakohooa wala sijajipinduaa.... so ni shombo utanipakiza bureee na kesho sintokutakaa.

KINGINEEE ONGEZA MICHEZOO SIO UNADANDIA TUU KAMA JOGOO

Una akili kama mimi halafu nimegundua mi na wewe tunaendana kabisa
 
Niahidi kwanza kama kura yako utampa Lowassa.

.............
Aah ah ah ah!
Bila shaka,kati ya watu kumi wa uhakika wanaotaka mabadiliko unaowajua,
jina langu andika namba mbili baada ya jina lako.

Haya tuendelee mwaga ushauri tumnusuru kijana
ili tusipoteze kura hiyo moja muhimu.
 
Fanya mazoezi kama ulivyoshauriwa, jiamini, kula vyakula vya asili, usisahau matumizi ya asali na mdalasini kila siku
 
Hapo tu unakibamia unawapenzi wengi, ungekua fit sijui hali ingekuaje?
Huwezi kupewa kila kitu, jaribu kuangalia kwa umakini ni eneo gani uko vizuri utumie vizuri kwa fursa zingine.

Anakuwa na wengi ili ajisikie yuko normal, au awe na back up akipigwa kibuti.
Ila ukweli ni kwamba ukiwa na kibamia na wapenzi wengi ndivyo utakavyoathirika kisaikolojia zaidi maana kwa kujua wengi wamejua udhaifu wako.
 
Msaada wanaJF,

Mimi nina 'kibamia' na kitu kinachonifanya niumie zaidi ni pale tena ninapokuwa kwenye 6*6 bado nawahi 'kumwaga', haijalishi ni bao la 2 au la tatu. Kiukweli wasichana niliowahi kutoka nao wamenikimbia kutokana na tatizo hili la kibamia na kuwahi kumwaga.

Nilikuwa naomba msaada wa kimawazo ndugu zangu kiukweli muda mwingne natamani hata nijiue maana nashindwa kudumu na wapenzi wangu.
Una hela??
 
Hivi kibamia kinapimwa kuanzia inch ngap...???? na je inapimwa dushe likiwa limesimama au likiwa limelala....????
 
Hivi kibamia kinapimwa kuanzia inch ngap...???? na je inapimwa dushe likiwa limesimama au likiwa limelala....????

Kinapmwa dushe likisimama urefu wake unakuwa hauzidi kidole gumba cha mguu au mkono na kikiwa kimelala size ni kidole kidogo cha mguu. Uuupooo hapo!
 
mi nkajua wenye vibamia ndio mnafaidi! maana wengine 2kiwa kwenye game ful mtaftano hadi kero, utadhani kalishwa pilipili au anataka kuingia uvunguni mwa kitanda.
sasa na vibamia hawataki? atakua amezoea kulambana na mwanamke mwenzake huyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom