Dah Anabahati,wangu Ananuna Sa Ingine Kama Kanywa Viroba
Hahaha!
Siku moja nilimnunulia sendo na mkanda!
Hadi alisema hujachagua wewe!
Na ni kweli mkaka wa ofcn alinisaidia:kuchagua! Ikabid nikubali kuwa kweli mtu alipitsha hao wakaka walikuwa wananunua na wao ndo wakanishaur kuwa ni vizuri!
Kesi ikaja! Mazoea na wanaume sitaki!
Cha ajabu ndo mkanda wake mkuu!
Aisee wanaume tuna shida sana.
Kwani kakwambia yeye ni mwanaume?
Wanawake tuache uchoyo bana, kuna raha yake kumnunulia mpenzio zawadi.
Mi si mjuzi sana wa nguo za kiume ila huwa nadesa kwa wanaume wengine nikiona wamevaa kiatu au shati zuri lazima nikisake madukani kama hela inaruhusu au kama staffmate wangu namuomba ana nisinfikiza naenda nunua.
Zawadi huongeza upendo atiii, hata mpezio ukimuomba hela anatoa tuu maana anajua zitamrudia.
Ila nyie ambao ni bahili acheni basi mnatukatisha tamaa
Aisee!!Ninachomfurahia Hata Akasirike Vip,ukimto.Mba Mnakua Mmemaliza Ugomvi.
Ninachomfurahia Hata Akasirike Vip,ukimto.Mba Mnakua Mmemaliza Ugomvi.
Kumnunulia mume vitu sio lazima iwe shati ama suruali. Kuna vitu vidogo muhimu sana kama underwear including vests, handkachiefs, socks. Unaweza kununua pia wallet na uturi. Shati ni rahisi lakini sarawili ama suti ni mtihani, same for viatu.
Well, mie huwa sioni kama ni zawadi, naona kama ni sehemu ya wajibu tu. labda kwa vile nae anawajibika sana na matunzo. Mwanaume hajitambulishi, kuna mambo ambayo hasubiri kuombwa ili afanye. Kutokuwajibika ni kama kilema flani hivi
nishasahau kununua boxer na sox,show yote ya boxer zangu na sox huwa inasimamiwa na "mayi waifu wangu".
vipi mbunye unapewa?.
Mbunye Napata Sana Tu Adi Naoga
Aah wewe umenisahau me team "some little things matter the most". Tatizo sasa mume wangu Paulo taste ya Vitu vyake mmmh nilikoma mwanzoni, ila sasa hivi nimeshamjulia
HihihihiSafi sana, kumbe tayari umeishabinafsishwa, nilikuwa sijui aisee

Sijui kama amewah hata kufikiria kunipiga! Hajawahi na I hope haitokaa itokee!
Uzuri namjulia so hata awe na hasira vipi nusu saa kubwa utamkuta anacheka! !
Na mtu mwenyewe kanikuta! Sijawahi hata mnunia hata afanye kituko gani!
Ninachomfurahia Hata Akasirike Vip,ukimto.Mba Mnakua Mmemaliza Ugomvi.