sikiliza mkuu achana na hicho chuo, hamia chuo chengine au kasome aviation ule zako maisha. karibubi tu uwanja unafunguliwa kazi kibao,, mm nilidisco degree now nimegraduate flight operation officers/ flight dispatch. likuepukalo lina kheri na ww
Sema sasa ww kilaza na hazard majanga yako, sio unaropokwa tu. nani alokuwa na pressure, timu gani ina vikombe vitano vya ligi, halafu mdomo mwingiiii
hahahahh
Me nadhani huyo kabla ya kumuoa alizoea kuazima nguo za shoga zake, sasa hiyo tabia inampa shida kwa sasa. Cha kufanya mpe likizo aende nyumbani na nguo zake tu then muangalie atavaa za watu wengine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.