plerocercoid
Member
- Jun 8, 2018
- 46
- 14
- Thread starter
- #121
Karatas ni zakutoka nacte hazikuchapishwa upya ndio maana naliona hili jambo co la hapa ndio maana hata wale matokeo yao yamekua retained wamefuta tu na Marker..hahahahaaaaaaa sa we jamaa unatupotezea muda kumbe hata Uongozi haujautaarifu na upo eneo la tukio. yawezekana wamekosea uchapaji. anza nao ndo uje huku
Co kwamb ctakwenda kuuliza, nikipata uhakika kwamb haiwezekan nitaanza kuulzia hpa nakuendelea.
Ctak kujiingiza katka hili kabla cjapata uhakika wa ninachofanya.