Jmn tusimlaumu Roma labda kuna kitu wamefanyiwa wanaogopa kusema kwa sasa wasihatarshe maisha yao coz ukicheki studyo zlpo tayar n kwa MTU mkubwa anaejulkana but why watekwe hamwez jua coz wale pia n binadam na wana familia zao
Ivi kama kweli ney kakamatwa kosa lake ni lipi hapooo????
Maana huyo bashite wa kolomije hatumjui km yupo ajitokeze
Na waliofumuliwa marinda je........hahhahahhahahahha wapoooo ?
#####freenation###
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.