Tujiandae kwa mashairi zaidi ya yale ya Roma

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,324
152,136
Haitapita miezi miwili na pengine hata ndani ya mwezi mmoja kuanzia leo wataibuka wasanii wengine na mashairi yenye ujumbe mzito pengine kuliko hata yale aliyokuwa anaimba Roma.

Sioni uwezekana wa Roma kuimba tena nyimbo alizokuwa anaimba ila naamini ame-inspire wasanii wengine na kipigo chake hakitaogepesha wengine bali kitawahamasisha.

Kuna vitu ukividhibiti ndio unaviongezea nguvu kuliko kama ungeviacha.

The best approach ilikuwa ni kuacha watu waimbe tu na si vinginevyo.

Muda utathibitisha.
 
usihofu kumpoteza mmoja ili kumi waishi vema

watanzania tuna uoga sio amani mnadanganywa

sacrifice for your son and daughter amka kifikra

damu yako iwe chachu ya ukombozi dokta ulimboka
 
Roma kaangusha watanzania waliompigania mpaka akawa huru. Ni bora angebaki kimnya tu nayo ilikuwa ni ujumbe tosha kuliko kwenda kujiabisha mbele ya makamera na kumpongeza yule aliyemteka na kumpa kipigo takatifu.
 
usihofu kumpoteza mmoja ili kumi waishi vema

watanzania tuna uoga sio amani mnadanganywa

sacrifice for your son and daughter amka kifikra

damu yako iwe chachu ya ukombozi dokta ulimboka
Mashairi ya 2030 bila shaka eee
 
Haitapita miezi miwili na pengine hata ndani ya mwezi mmoja kuanzia leo wataibuka wasanii wengine na mashairi yenye ujumbe mzito pengine kuliko hata yale aliyokuwa anaimba Roma.

Sioni uwezekana wa Roma kuimba tena nyimbo alizokuwa anaimba ila naamini ame-inspire wasanii wengine na kipigo chake hakitaogepesha wengine bali kitawahamasisha.

Kuna vitu ukividhibiti ndio unaviongezea nguvu kuliko kama ungeviacha.

The best approach ilikuwa ni kuacha watu waimbe tu na si vinginevyo.

Muda utathibitisha.

Forget about it now....
 
Mbegu isipokubali kufa hukaa hali ile ile ila ikifa huzaa mazao mengi sana.
Huyu jamaa alisema lete defender leta wajeda lete so what called sooo. Sasacwamemletea raia tu na noah hoi. Wangekuja hao na defender sijui ingekuwaje.
In fact ni ngumu sana "to walk the talk" wengi tunaweza "to talk the talk".
Kiukweli niliwaza sana marungu aliyokuwa anapewa aliapa huko labda hatorudia. Sasa awe raia mwema harakati aziache aimbe taarabu hivi au mipasho. Siasa za kitoto musimu huu hazitoboi jamaa kabana hata bungeni nao wamepigwa pini.
Sasa ndio unajua "Knowledge is Power"
 
Jmn tusimlaumu Roma labda kuna kitu wamefanyiwa wanaogopa kusema kwa sasa wasihatarshe maisha yao coz ukicheki studyo zlpo tayar n kwa MTU mkubwa anaejulkana but why watekwe hamwez jua coz wale pia n binadam na wana familia zao
 
usihofu kumpoteza mmoja ili kumi waishi vema

watanzania tuna uoga sio amani mnadanganywa

sacrifice for your son and daughter amka kifikra

damu yako iwe chachu ya ukombozi dokta ulimboka
Hii mistari dah nakosa hata neno ila Israel sio kiumbe wa mchezo
 
Wewe fanya kazi zako tu lakini mambo ya kuanza kushindana na serikali ngumu sana kushinda
 
Haitapita miezi miwili na pengine hata ndani ya mwezi mmoja kuanzia leo wataibuka wasanii wengine na mashairi yenye ujumbe mzito pengine kuliko hata yale aliyokuwa anaimba Roma.

Sioni uwezekana wa Roma kuimba tena nyimbo alizokuwa anaimba ila naamini ame-inspire wasanii wengine na kipigo chake hakitaogepesha wengine bali kitawahamasisha.

Kuna vitu ukividhibiti ndio unaviongezea nguvu kuliko kama ungeviacha.

The best approach ilikuwa ni kuacha watu waimbe tu na si vinginevyo.

Muda utathibitisha.
Watu wakiuchoka Uhuru ni lazima wajengewe hali ya hofu..tulikoanza kwenda tulitaka kuvuka kiwango cha Uhuru na kuwa fujo..naipongeza sana serikali kwa kuanza kudhibiti huu upuuzi..
Rais na amiri jeshi mkuu alishasema uchaguzi umeisha sasa watu wapige kazi nchi ikiendelea kujengwa na tunashuhudia in a supersonic speef.. Baadhi wanajifanya kukubali kushikwa masikio na wanasiasa huku wao wametulia..
Hivyo ndivyo namna serikali za nchi zilizoendelea zilivyofanikiwa..anayekwamisha jitihada anashughulikiwa..period
 
Haitapita miezi miwili na pengine hata ndani ya mwezi mmoja kuanzia leo wataibuka wasanii wengine na mashairi yenye ujumbe mzito pengine kuliko hata yale aliyokuwa anaimba Roma.

Sioni uwezekana wa Roma kuimba tena nyimbo alizokuwa anaimba ila naamini ame-inspire wasanii wengine na kipigo chake hakitaogepesha wengine bali kitawahamasisha.

Kuna vitu ukividhibiti ndio unaviongezea nguvu kuliko kama ungeviacha.

The best approach ilikuwa ni kuacha watu waimbe tu na si vinginevyo.

Muda utathibitisha.
Sasa kwa nini usiandike wewe hayo mashairi? Umekaa "umejificha" nyuma ya keyboard na kuchochea wenzako. Mwoga mkubwa wewe.
 
Hapa Rwanda wapinzani wa dikteta Kagame huwa wanatekwa na kwenda kufanyiwa vitu vya ajabu kama ubakaji. Hakuna mwanaume anayeweza kukiri hadharani kufanyiwa hivyo. Wengine hutishiwa kwamba waliyoyapitia ndugu zao kama watoto au wazazi pia watapitia. Ndio maana wapinzani wa Rwanda wote huwa wanahakikisha kwanza kuwa familia zao ziko nje ya Rwanda kabla hawajaanza harakati.
Tusikimbilie kuhukumu mtu kuwa ni muoga wakati hatujui ni kitu gani amepitia huko. Huku Rwanda kuna watu wakitekwa wakiachiwa wanageuka wendawazimu, wengine wanacommit suicide, wengine wanakubali makosa ambayo kila mtu anajua hawana uwezo wa kuyafanya for the sake of usalama wa familia zao. Unakuta kijitu kama hamorapa kinatekwa, kinafichwa kwa wiki moja halafu kinaibuliwa polisi kikikiri kupanga njama za kumpindua kagame kwa kutumia silaha! Wale "waliohurumiwa" mateso kidogo huishia kujiunga na chama tawala na kuimba sifa za Kagame.
Narudia tena acheni kuhukumu. Tupige kelele kuwa wale waliomtolea nape bastola wakamatwe. Hakuna nchi ambayo tukio kama lile linaweza kutokea halafu polisi au usalama wa taifa wasijue wale ni kina nani. Huyu Roma ni mhanga tu.
 
Mbona haya huimb!? Leta wagambo, letawajeda, roma ntajitoa sadaka na mkitaka kuniua hakksha sifii hapa hakna sadaka kwel kama kumchnja isaka @chezea kfo au ujasl wa mtandaon
 
Back
Top Bottom