Nauza kitanda na godoro!.

Nauza kitanda na godoro!.

mkuu umeshajiandaa kisaikolojia kulalia sakafu..........
 
Magufuli alisema watakao baki Dar baada ya mwezi huu wa saba wajiite wanaume. Naanza kuamini maneno yake sasa!!! Mpaka namba ya simu umeweka!? Kweli uko serious mkuu!!!!
 
Bei poa , kwa sasa jua linawaka mpaka mfukoni ningechukua . Bei uliyotaja ni kitanda peke yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom