umemsahau mwambe kaamia ccm lakini anaiwakilisha chadema pia spika bado mgeni bungeni ndio kwanza anajifunza kanuni acha liende tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
umesema madaktari kwanini hawakimbii kuwatibu wagonjwa wenye corona sio sawa hao niwatu wenye taaruma ya afya kabla hajafanya kitu lazima wahakikishe usalama wao kwanza ndio maana wanamavazi maalumu yakujilinda kabla hawajamuudumia mgonjwa ndio maana wapinzani waliomba wabunge wote wapimwe ili...
kwakua nina akili nyingi kuliko wewe kichwa tikiti unaekula kwamagoti nilazima ushangilie upuuzi ili uwishi kwahiyo sikushangai
Sent using Jamii Forums mobile app
MAKADA WENZANGU WA CCM
Nimefuatilia kwa ukaribu sana majadiliano na mabishano yaliyopo sasa kwenye mitandao.haya ni mawazo yangu huru
1.Tumekosa mwelekeo kukitetea chama chetu,,tunawajibu wenzetu wa upinzani kwa hoja nyepesi,tumejikita zaid kuwashambulia kwa matusi badala ya kujibu hoja zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.