black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,243
Habari ndugu
Nina gari yangu vitz imeanza kuishiwa maji na kuchemsha unaweza ukaweka maji ukaenda umbali flani ukicheki maji unakuta yameisha kabisa na kupelekea kuchemsha
Na pia ukiwasha ac ukienda umbali kidogo unakuta maji yameisha yote na gar inazima ghafla
Gari sijawah fungua injin Wala kuigusa tangu nimenunua
Ila Kuna kipindi nilikuwa natumia maji kama coolant
Naombeni ushauri wenu wadau
kilicho akilini kitumie
Nina gari yangu vitz imeanza kuishiwa maji na kuchemsha unaweza ukaweka maji ukaenda umbali flani ukicheki maji unakuta yameisha kabisa na kupelekea kuchemsha
Na pia ukiwasha ac ukienda umbali kidogo unakuta maji yameisha yote na gar inazima ghafla
Gari sijawah fungua injin Wala kuigusa tangu nimenunua
Ila Kuna kipindi nilikuwa natumia maji kama coolant
Naombeni ushauri wenu wadau
kilicho akilini kitumie