Neno sahihi lakini wakati siyo sahihi.
Ushauri mzuri lakini si wakati wake hasa ikiwa ni muda ambao wanachi walio wengi hawaridhiki na utendaji wa serikali na ni wakati ambao hali ya gharama ya maisha inazidi kupanda huku hatuoni hatua stahiki toka serikalini.
Ni sawa na kumwambia mtoto akazane...
Hawa watu wa chama cha wafanyakazi na wakaguzi kutoka serikalini walikuwa wakifika kiwandani nilikokuwa nafanya kazi, lakini hawakuwa wanaonana na wafanyakazi badala yake walikuwa wanaishia ofisi ya HR wanapiga stori na muhindi kisha wanasepa huku sisi tukiendelea kupigika. Mbaya zaidi kile...
Una matatizo wewe, nani kasema nimewahi kopa kwa washen** kama nyie...mnapenda hela za harakax2, na mtatapeliwa mpk mnyooke.
Mnatapatapa mmekosa mbinu za kuwawajibisha mlowakopesha 😂
Hiyo namba imeenda kwa idhini ya nani? na kaweka namba yangu kama nani kwake?. Watafute/kubotesha mbinu za kutafuta hela, hii ya kusema mikopo rahisi papo hapo ni uwongo, ndo maana wanaishia kutapatapa kuzunguka kwenye contacts za mtu na pili nadhani pia hawajaheshimu privacy ya mtu kwa kuaccess...
Wote mna makosa, hukupaswa kumpa jina bila kujadili na mama, na pia Kama baba ake yupo pia alipaswa julishwa unless katelekeza mtoto.
Ila mwishoni maamuzi yako yalikuwa vizuri, ulitenda kulingana na reaction yake kuonesha si wa kuaminiwa.
Shule ya msingi nilikuwa mpole mno, kiasi hata walimu walikuwa wananitenga wakianza kuadhibu wapiga kelele.
Ila sekondari nilikuwa mtukutu, sikuwahi kosa kwenye majina ya wapiga kelele, nikawa nakuja shule saa mbili au nne kisha nasepa saa sita na njia yangu ya kutorokea sometimes ilikuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.