Faida ya ugomv nin! sasa we ulipo pandisha jaziba zako na shemej mtu kupandisha ili mzichape uwoni kama umeonyesha utov wa nidham!
au ndo mastory ya town ayo
me kama wewe utanipa wasiwasi tu harafu hera yako ndogo sana kummiliki mtu kwa mshahara wako huwo bora uwende ukawaisaidie yatima kuliko kutafuta mwanaume,
Usitafute solution wala iyo inakujengea mazingira mazuri yakufanikiwa kimaisha,
kwan kila unapotoa umekuwa umewekeza,
lakini saidia panapo stahiri sio kila kitu,
kutoa ni moyo nasio utajiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.