Natafuta mume jamani

Natafuta mume jamani

unataka mume afu unakuwa na sera za kibaguz?,kwan wa kusini sio watu......alafumbna hujaeka sifa zako na ww mf elim,umbile.....mwisho eka picha yako tukuone?
 
Nadhani mdau alikuwa ana hamu ya kuwa na ma'PM mengi kwenye inbox yake.
 
natafuta mwanaume anayehitaji mwanamke wa kuishi naye awe na. sifa zifuatazo; ;;;awe mzaliwa wa mikoa ya kaskazini, hajawahi kuoa, umri -32-37,elimu, form. 6, mkristo (r.. c ).mwenye nidhamu.

ty

Endelea kumtafuta humu humu, ipo cku utampata tu
 
Me vigezo vyote ninavyo lakin nidham yangu wakat namaliza form 6 waliniandikia mbovu,
sasa cjui tunaweza kulekebisha mbele yasafari?
 
Subir mda muafaka

Nimekumiss sana best
Napata machungu nikikumbuka
.........
dah.. ichana umenigusa hapo kwa red..
thanks for that immotional touch..

Jioni njema my dear!

enjoy... my dedication to you

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom