Hata siamini kama nimenasa

Hata siamini kama nimenasa

Hapana babu, kwa jinsi nnavokufahamu najua hutapata kesi hapo, Asprin najua hawezi kukuletea shida

Mhhhhhhh,

Wewe hunitakii mema.....Mimi na mzee mwenzangu Asprin tuna makubaliano yetu na sasa naona unataka kuniweka njia panda....
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhhhh,

Wewe hunitakii mema.....Mimi na mzee mwenzangu Asprin tuna makubaliano yetu na sasa naona unataka kuniweka njia panda....

ooohoooo sorry babu I didn't knew that am causing a mess... Asprin please naomba usimuweke babu mwenzio njia panda.... hope nimeondoa utata....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahah,

Huko kwa Sean ni saa ngapi sasa??

Hamlali?

Saa sita na nusu usiku sasa, hahahah umesahau babu Kasinde anakula ujana, yaani huku nina popo kuliko nilivokuwa napopo bongo maana kipindi hiki ni cha summer hivo mchana mrefu usiku mfupi, usiku mzima nabundi nalala asubuhi hade early noon coz mchana mrefu. Am just enjoying life babu...
 
Saa sita na nusu usiku sasa, hahahah umesahau babu Kasinde anakula ujana, yaani huku nina popo kuliko nilivokuwa napopo bongo maana kipindi hiki ni cha summer hivo mchana mrefu usiku mfupi, usiku mzima nabundi nalala asubuhi hade early noon coz mchana mrefu. Am just enjoying life babu...


As long as unaendesha gari kwa salama babu hana neno...
 
mwenye kunisaidia la kusema anisaidie
 
Saa sita na nusu usiku sasa, hahahah umesahau babu Kasinde anakula ujana, yaani huku nina popo kuliko nilivokuwa napopo bongo maana kipindi hiki ni cha summer hivo mchana mrefu usiku mfupi, usiku mzima nabundi nalala asubuhi hade early noon coz mchana mrefu. Am just enjoying life babu...

Kasinde..napenda ulivo na comfidence..karibu upopo europe kama hutojali
 
na unabaati angekuwa ni mzungu angemaliza nawewe badae ungemaliza na mbwa wake.. we umefika cku yakwanza tu usha pelekwa kupigwa mzigo.
 
ukirudi bongo naomba nikukaribishe kwangu for drinks and football:A S 11:
 
Bado tu hujajua kigreza?!
Unatuaibisha kwa shem zetu.

Nop and no thank you, am not European to be deep in English, just FYI am a nyamwezi girl and I speak fluent in Swahili am AKA matumbi girl, hii English naongea hapa ni urembo tuu......:usa2::usa2::smiling::smiling::smiling:
by the way am proud of myself
 
Kasinde..napenda ulivo na comfidence..karibu upopo europe kama hutojali

Europe, sijawahi fika huko, but nafurahia mualiko wako. Is serious nikuweke kwenye ratiba yangu ya likizo ya mwakani? maana ya mwaka huu almost inaisha, thanks nimezaliwa hivo japo wengine wanakereka na confidence yangu, nakosa cha kuwasaidia
 
Europe, sijawahi fika huko, but nafurahia mualiko wako. Is serious nikuweke kwenye ratiba yangu ya likizo ya mwakani? maana ya mwaka huu almost inaisha, thanks nimezaliwa hivo japo wengine wanakereka na confidence yangu, nakosa cha kuwasaidia

Am serious..naelekea tznia soon for my short holiday kama hutojal tupange then siku ukiwa tayar nikupe mualiko...ni pm usijal
 
Am serious..naelekea tznia soon for my short holiday kama hutojal tupange then siku ukiwa tayar nikupe mualiko...ni pm usijal

Go girl jus be urself ...huwez pendwa na kila mtu kasinde...be strong kila siku usirudi nyuma
 
Am serious..naelekea tznia soon for my short holiday kama hutojal tupange then siku ukiwa tayar nikupe mualiko...ni pm usijal

tz unaenda lini? tunaweza tusionane mie bado niko US likizo ikiisha ndo narudi bongo, would love that Europe trip but should be next year right? If u r that seriuos nashukuru sana,
 
Back
Top Bottom