Recent content by amos zacharia

  1. amos zacharia

    Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

    Shetani umutinze hakisibiri moto
  2. amos zacharia

    Kung'ang'ania kwenda Kuzikwa kwenu Kijijini ni akili au matope?

    Nilazima mtu azikwe kijijini kwao kuleta heshima kwafilia sio familia yote wanaweza kusafiri kwenda mfano niko kijijini tarime sina kazi yenye kipato kivuri ndugu yangu mauti imemfika daresalam nibora kumsafirisha kuja kuliko kusafirisha familia mzima pia tamaduni yetu mfano watu wamara...
  3. amos zacharia

    Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

    Tusome Yohana 1:1 inasema gapomwanzo kulikuwako neno nayo neno ilikuwa kwMungu nae neno ilikuwa Mungu Navitu vyote vilifanyika kwauyo pasipo yeye akifanyika kitu nae neno alifanyika mwili akakaa kwetu Tukiongeza nahii Malaika alieleta habari yakuzawaliwa kwaYesu alimwambia mariamu kuwa utazaa...
  4. amos zacharia

    Ushauri: Napenda sana wanawake wajawazito

    Wewe kama sio shetani unatumiwa nashetani nakama ujui tafuta kanisa lakweli ukaombewe uyo jini hakuache
  5. amos zacharia

    Bungeni: Goodluck Mlinga(CCM) atoa mpya... Adai Anatropia(CHADEMA) anamtamani kimapenzi

    Wabunge wetu wawe nahekima kuna mambo ambayosisi kama wananchi hatupaswi kusikia ikitolewa nambunge alieaminiwa nawananchi wengi wenye heshima nakua namashaka nae kuongea maneno hayo bungeni sio sehemu yake angeongea nae pembeni
  6. amos zacharia

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Waraka wapili waPetro 3:3 anasema ukijua kwanza neno hili yakwamba siku zamwisho watakuja nadhiako watu wenye kudhiaki wafutao tamaazao wenyewe 4 wakisema ikowapi ile ahadi yakuja kwake maana tangu mababu zetu vituvinakaa ivyoivyo 6 hawajui dunia yakwanza iliangamizwa kwamaji 7 lakini mbingu...
  7. amos zacharia

    Iringa Mjini: Makamu Mwenyekiti BAVICHA, Patrick Ole Sosopi akamatwa na Polisi

    Wanaosapoti kukamatwa kwa huyu ajifikirie viema mawazo yake kwa muda huu Nivyema tukaomba Mungu viongozi wa nchi hii wapate hekima wajue kuongoza kwa haki na hekima.
  8. amos zacharia

    Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

    Kuna watu kama siwajinga wanatumwa nashetani kumsaidia kazi zake Kusema Mungu hayupo wakati unapumua unaongea unatembea unatumia nguzu gani punzi gani unatumia wanaokufa kwanini wafe? Bila Mungu kukubali uishi auwezi kuishi je milima ilitokawapi miti wanyama bahari mito mikubwa bado unashindwa...
  9. amos zacharia

    Sayari inayofanana na Dunia yagunduliwa

    Ndio watu wajue kuwa uwepo waakili wamwanadamu bado nindogo sana Mungu ni Mungu akili zake azichunguziki Mwanadamu asijivune kwachochote kufika apo kwenye sayari aiwezekani mwadamu kufika tumpe Mungu maisha yetu ajeatufilishe mbinguni
  10. amos zacharia

    Barua kwa Jenerali Devi's Mwamunyange (JWTZ)

    Asante sana mleta hoja tunataka hamani Heri wapatanishi maana wao wataitwa wana waMungu
  11. amos zacharia

    Jaji Mutungi: Uwepo wa Maandamano, utaamuliwa kwenye Mazungumzo ya tarehe 29 na 30

    Wewe unaesema waache Cdm wavunjwe akilizako aziko sawa unajua maana yamapatano bora kinga kuliko tiba unadhani utabaki salama wewe waulize nchi ambazo Marais wao wajidai wababe kumia polisi matokeo iliwakumba hata wale ambao hawakuunga upande wowote fikiri vyema kabla ujasema
  12. amos zacharia

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Mara wewe umeomba Mungu akusamehe juu yakosa yako naukahacha kurudia kosa iyo tena kama ulivyoomba msamahaa je wewe umeshakuchukua hatua yakuacha dhambi kama wewe umeacha dhambi wengine je
  13. amos zacharia

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Jichunguze labda unatumiwa nashetani bila kujua maana madai yashetani tangu mwazo ndoilikuwa ivyo mpaka alipodanganya mwanadamu hata kufa badala yake kutotii sauti yaMungu imesababisha tunakufa sisi wenyewe tulichagua haya tunayoyaona tungemtii Mungu tusingekuwa ivi kuna sayari zingine wanaishi...
  14. amos zacharia

    Hakuna nchi iliyoendelea kwa kubadilisha Chama!

    mmm nakushangaa mabadiliko lazima tu
Back
Top Bottom