Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
- Thread starter
- #41
Je unaaminika? Nikuazime mwanamke wa kukupa kampani usiku huu club kwa kampani tu lakini.
naaminika sana mkuu, fanya uni PM mkuu
Je unaaminika? Nikuazime mwanamke wa kukupa kampani usiku huu club kwa kampani tu lakini.
Upo moshi pia? Au unaulizia in case!Malindi ni kitongoji ni bar au ni hotel?
Upo moshi pia? Au unaulizia in case!
Ungenishtua mapema nikawa nakupiga hata picha tuSiku hizi nafanya utalii wa ndani
njoo unipe kampani
Ungenishtua mapema nikawa nakupiga hata picha tu
Udzungwa ndo penyewe nkimaliza kukupiga picha tunaogelea kidogoNikienda mtwara ntakustua...aandaa camera
kuna mtwara kuna udzungwa moro....
Udzungwa ndo penyewe nkimaliza kukupiga picha tunaogelea kidogo
Nenda uhuru pick ukale upepo urelax
Pazuri sana hivyo vyumba kwa kupigia picha ndo vyenyewe sasaUdzungwa Falls Lodge - Accomodation Tazama hiyo niambie kama umeipenda