Sio rahisi kuamini nashangaa, sina amani maishani mwangu baada ya kukuta mke wangu anafanya uzinzi na baba mkwe wake. Kwa kweli nilishtushwa kuona hali kama hii, hakika ndio muda wa kiama huu.
Naombeni ushauri
Namshukuru mungu kunipa nafasi ya pekee kutafakari hiyo slogan kw muda mwing mno isemayo mubaya alishazaliwa? Nikwel kwmb mubaya tayari alishazaliwa kw vigezo vifuatavyo first kuna m2 aitwaye mwizi, mchawi, mula rushwa, muaji hawa wote si wa2 wazuri. Je! Wewe kw fikira zako unahic mubaya tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.