Recent content by ammablaze

  1. A

    Tabia hizi katika Supermarkets zinaboa

    Ni vizuri kutumia debit card katika maeneo kama supermarket, kama hauna card basi jitahidi uwe na coins, au ongeza bidhaa nyingine itakayomalizia hiyo mia yako, si busara kwa muhudumu aende kutafuta chenji ilhali kuna watu wengine wanahitaji huduma yake.
  2. A

    RTI International

    Sema basi kasomea mshahara au? Acheni zenu hizo msitusababishie tuchafue computer zetu
  3. A

    JWTZ proffessionals vipi?

    Kweli watu wameamua, yaani topic ya jwtz daily haikomi, au kuna kitu nini jeshini hebu tuambizane jamani. Ila kuwa na subira tu bro lazima watatoa, while waiting for that nakushauri endelea na michakato mingine, wanaweza wakatoa then ukakosa vigezo vingine kama afya na umri
  4. A

    Hii sensa kiboko?

    Kweli kiboko, kama dar ndo hivyo je huko vijijini inakuwaje
  5. A

    nafsi za kaz bandari..

    Fungukeni
  6. A

    Kazi COSTECH

    Hebu atuambie
  7. A

    Maafisa tarafa

    Hamnaga interview , interview ni vyeti vyako ulivyotuma, kama vp we subiri kuitwa kazini. Kama waalimu na watu wa kilimo, no argument
  8. A

    Vicky Mtetema acha kufanya ofisi ya Under The Same Sun Mali yako......

    Wabonge tuache mambo ya kubebana, tunahitaji watu wanostahili kwa kazi Kaka kama vp mchane tu live
  9. A

    Jamani PSPF wameshaita watu kazini?

    Acheni kumkatisha tamaa mwenzenu, haiwezekani kila mtu akajiajiri lazima wengine waajiriwe, au wewe ushaona wapi mtu kajiajoiri afu kazi zake zote anafanya peke yake, ukweli ni kwamba mwisho wa siku lazima wengine waajiriwe. Pia unaweza ukaanza na kuajiriwa then ukajiajiri badae yaani unatafuta...
  10. A

    Jamaa ananizingua au kweli?

    Acha mbwembwe kama hauna access ya gazeti piga hizi namba jamaa anafanya kazi huko +255222122976
Back
Top Bottom