Ni vizuri kutumia debit card katika maeneo kama supermarket, kama hauna card basi jitahidi uwe na coins, au ongeza bidhaa nyingine itakayomalizia hiyo mia yako, si busara kwa muhudumu aende kutafuta chenji ilhali kuna watu wengine wanahitaji huduma yake.
Kweli watu wameamua, yaani topic ya jwtz daily haikomi, au kuna kitu nini jeshini hebu tuambizane jamani. Ila kuwa na subira tu bro lazima watatoa, while waiting for that nakushauri endelea na michakato mingine, wanaweza wakatoa then ukakosa vigezo vingine kama afya na umri
Acheni kumkatisha tamaa mwenzenu, haiwezekani kila mtu akajiajiri lazima wengine waajiriwe, au wewe ushaona wapi mtu kajiajoiri afu kazi zake zote anafanya peke yake, ukweli ni kwamba mwisho wa siku lazima wengine waajiriwe. Pia unaweza ukaanza na kuajiriwa then ukajiajiri badae yaani unatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.