Sema basi kasomea mshahara au? Acheni zenu hizo msitusababishie tuchafue computer zetuHaya mabungai ndio yananichefua mimi kila siku natapikia kompyuta yangu, unaulizia mshahara tu, mazingira ya kazi hutaki kujua?
Kwanza ni Research Triangle Institute, hakuna international.
Huyo ndugu yako kasomea mshahara?