[Ukombozi Africa Urafiki Jazz Band]
Mwenyekitiiiiiii,
Wa nchi tano zilizo mstari wa mbeleeee,
Tunakuomba, Uzidishe mapambano ya kusini,
Mwa Afrika,
Kwani maadui , wa Afrikaaaaaaaaaa,
Walisumbua sana bara letu hili la Afrika.
Raisi Kaunda, na Samora wa Msumbiji,
Silais Khamaaa...