Wewe si ulisema hutaki kuzaa sababu unakwepa majukumu? Mbona wasema tena ni matatizo ya kiafya? Bora uweke wazi shida yako je umewahi kuwa shoga? Je una maambukizi ya hiv? Je una matatizo ya uzazi? Hapo ukiweka wazi utapata ambaye ataridhika na hali yako yeyote, coz love doesn't ask why
Bamia ni nzuri.sana kwangu mume wangu anapenda sana maana ni mwanamazoez anasema zinasaidia joints zisikaze, pia mimi hupenda kuzipika na samaki, nyama, ndizi, ama zenyewe tu kama mboga, napenda pia kuzisaga nakunywa kama juice. Asante dr MziziMkavu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.