live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 791
- 1,265
Naomba wataalam, mnishauri ndio inavyokuwa katika umri huu au mimi nina shida kisaikolojia. Wakati nilipokuwa ninakaribia 30yrs nilikuwa napenda sana kufanya mapenzi mara kwa mara nikamuliza rafiki yangu akaniambia unapokuwa katika umri kama huo ndio inavyokuwa
Sasa hivi tena katika hi above 35 kila mwanamke ninae muona awe mweusi, mweupe, mwembamba, mnene, mfupi au mrefu najikuta namtamani tu.
Je, enzangu mliotangulia kufika umri huu hivi ndivyo inavyokuwa?
Sasa hivi tena katika hi above 35 kila mwanamke ninae muona awe mweusi, mweupe, mwembamba, mnene, mfupi au mrefu najikuta namtamani tu.
Je, enzangu mliotangulia kufika umri huu hivi ndivyo inavyokuwa?