dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,381
Kaka; kipenyo cha dunia ni 12,742km tu; na mzingo wake ni 40,075km sasa sijui huo umbali kutoka Sahara Desert to Amazon just crossing over the Atlantic kwamba ni zaidi ya 1,000,000km sijui umeutoa wapi! Imezidi sana, the longest distance from the most westerly point on the Coast of Africa, Dakar - Senegal say, to the most easterly point on Eastern Cost of Southern America, Rio De Janeiro, Brazil say, over the Atlantic is not more than 6,500km!hiyo ya mchanga kupeperuka kutoka sahara na kusafiri juu ya bahari kilomita zaidi ya milioni moja ni ulongo na uchawi.
Huyo Jaguar nasikia ndiyo mnyama hatari kuliko wote
anapanda mti
anaogelea
ana spidi
Yani huna pa kumchenga
Pili, huo mchanga haupeperuki kwa mwezi mmoja, mwaka, au karne; ni millions of years since the existence of the universe! Hata ukipeperuka tani 10 kwa mwaka (very possible; very minimal estimation; vumbi linalotimka Sahara sio la kitoto) kwa hiyo miaka 55milioni unaweza kuona ni tani ngapi hizo! Umeambiwa Msitu wa Amazon una zaidi ya miaka 55 milioni kumbuka hilo.