Recent content by amed

  1. amed

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Kwa wale wenye MAN TRUCKS AND BUSSES mnaweza kuniona kwa chochote kikikusumbua
  2. amed

    Magari aina ya BMW na Mercedez Benz huwa na matatizo gani?

    Kulingana na nature ya Tanzania. Brand ya gar hizo ni changamoto sana kupata vipuri na fuel consumption yake iko juu. Hivyo inapelekea watu kupendelea gar ambazo upatikanaji wa vipuri ni rahisi zaidi
  3. amed

    Msaada anayejuwa unywaji wa mafuta alteza

    Ulaji wa mafuta kwa gari kwa gari ni kuangalia kwanza engine yako ina cc ngapi? Baada ya hapo. Gari aina moja same cc..same horsepower ya engine. Ila ulaji wa mafuta ukawa tofauti kwa sababu nyingi sana. Moja wapo ni hizi 1. Dereva uendeshaji wake 2. Aina ya tair unazozitumia 3. Umezijaza upepo...
  4. amed

    Naomba ushauri wa kukabiliana na hali ngumu ya familia

    Mimi ni kijana nipo chuo, ni mwaka wa saba sasa toka baba mzazi afariki. Yeye ndiye aliyekuwa kama kiongozi wa familia maana alikuwa mfanyakazi serikalini mama yeye ni mama wa nyumbani tu. Tokea mzee afariki mpaka sasa familia yangu haina chanzo chochote kwa ajili ya kuingiza kipato kwa ajili...
  5. amed

    Tulioacha na kuachwa tukutane hapa kwa ushauri

    Jaman aliyeachwa wa kike Njoo in box
  6. amed

    Mlio na wapenzi tu kama huna usifungue hapa, unaweza pata madhara

    inasikitisha sana, kama unatafuta mpnz then gharama zinakushinda, plz tafuta wa uwezo wako c unakuwa na mpenzi kwa sifa afu unamkimbia, inaonyesha una udhaifu dukan, ipo siku ata mke wako utamkimbia..
  7. amed

    Natafuta mume

    salama nipo mimi njoo inbox
  8. amed

    MMU Sunday Talk; I love u all, naamini unajisikia furaha kupendwa

    nampa salamu mamndenyi mungu ambariki
  9. amed

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    S.0775/0050/2011 s.0321/0038/2011
Back
Top Bottom