Kulingana na nature ya Tanzania. Brand ya gar hizo ni changamoto sana kupata vipuri na fuel consumption yake iko juu. Hivyo inapelekea watu kupendelea gar ambazo upatikanaji wa vipuri ni rahisi zaidi
Ulaji wa mafuta kwa gari kwa gari ni kuangalia kwanza engine yako ina cc ngapi?
Baada ya hapo. Gari aina moja same cc..same horsepower ya engine. Ila ulaji wa mafuta ukawa tofauti kwa sababu nyingi sana. Moja wapo ni hizi
1. Dereva uendeshaji wake
2. Aina ya tair unazozitumia
3. Umezijaza upepo...
Mimi ni kijana nipo chuo, ni mwaka wa saba sasa toka baba mzazi afariki. Yeye ndiye aliyekuwa kama kiongozi wa familia maana alikuwa mfanyakazi serikalini mama yeye ni mama wa nyumbani tu.
Tokea mzee afariki mpaka sasa familia yangu haina chanzo chochote kwa ajili ya kuingiza kipato kwa ajili...
inasikitisha sana, kama unatafuta mpnz then gharama zinakushinda, plz tafuta wa uwezo wako c unakuwa na mpenzi kwa sifa afu unamkimbia, inaonyesha una udhaifu dukan, ipo siku ata mke wako utamkimbia..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.