Natafuta mume

Natafuta mume

Bado subir ukifika 25 ndo uanze harakati your too young aisee 23. We men tukioa tu tunabanjua mimba sasa for your age subir via vya uzazi name nyonga vikomae yaan viwe matured enough
 
Bado subir ukifika 25 ndo uanze harakati your too young aisee 23. We men tukioa tu tunabanjua mimba sasa for your age subir via vya uzazi name nyonga vikomae yaan viwe matured enough

Mtoto wa miaka kumi anazaa mim ndo nishindwe...
 
Mdada nimependa sana jinc unavyowajibu hasa wale waliokuka kwa lengo.la kukukejeli
 
Salama leta basi feed back cos it has been two years now ,,so have u get ur hubby😕😕 or ur still looking for😉😉
I wanna come pm but sitaki kukusumbua ikiwa umepata😛😛
 
na kama kuna sheria ya kumkataza mtu kua desparate kashitaki polisi..Period

Salama Jay unaonekana ni jeuri wewe na hiyo si sifa nzuri kwa mke mtarajiwa. Kuna imani kuwa mabinti wa Kihaya ni wajeuri na wajuaji. Je,unataka kuwathibitishia hilo ilihali bado unatafuta?!

Mimi nigedhani sasa hivi ungejitahidi kuficha makucha yako. Hata hivyo nikupongeze kwa ujasiri wako. Kila la kheri ktk kufanikisha hitaji lako.
 
Salama Jay unaonekana ni jeuri wewe na hiyo si sifa nzuri kwa mke mtarajiwa. Kuna imani kuwa mabinti wa Kihaya ni wajeuri na wajuaji. Je,unataka kuwathibitishia hilo ilihali bado unatafuta?!

Mimi nigedhani sasa hivi ungejitahidi kuficha makucha yako. Hata hivyo nikupongeze kwa ujasiri wako. Kila la kheri ktk kufanikisha hitaji lako.

Ni vizuri mtu akakufahamu ulivyo...kama ww ni mchafu,mvivu,mjeuri kuliko kukuona malkia alafu mkifika kwenye ndoa mnaanza kukorofishana
 
Salama leta basi feed back cos it has been two years now ,,so have u get ur hubby😕😕 or ur still looking for😉😉
I wanna come pm but sitaki kukusumbua ikiwa umepata😛😛

the feedback is..nilipata mtu hapahapa shortly after kupost..tukaanzisha mahusiano,i loved him..he loved me...tatzo likaja kwenye ndoa..yy mkristo mim muslim,wazazi wake wanaamini muslim tuna majini..hvyo tukasitisha mahusiano..
 
the feedback is..nilipata mtu hapahapa shortly after kupost..tukaanzisha mahusiano,i loved him..he loved me...tatzo likaja kwenye ndoa..yy mkristo mim muslim,wazazi wake wanaamini muslim tuna majini..hvyo tukasitisha mahusiano..

If you don't mind I'm 106 years old. Nina watoto na wajukuu. Now I'm living alone comfortable and reliable life. Kama hutajali kuolewa na kikongwe , you are welcome. Naishi City iliyo karibu na kwenu.
 
the feedback is..nilipata mtu hapahapa shortly after kupost..tukaanzisha mahusiano,i loved him..he loved me...tatzo likaja kwenye ndoa..yy mkristo mim muslim,wazazi wake wanaamini muslim tuna majini..hvyo tukasitisha mahusiano..

sounds good kwamba ulipata mtu kupitia hapa but sadly hamkuweza kufikia matarajio yenu so usikate tamaa kila penye nia pana njia I hope mpango wa5 Mungu juu yako na hakika utapata wa kufanana nae
 
Pole sana Salama Jay
na changamoto za baazi ya wachangiaji wachache zisikufanye ukakata tamaa juu ya matarajio yako kumbuka kila muomba mungu hakosi akiombacho mimi nina imani kuwa muda ndiyo huu sasa umewadia wewe kupata mwenza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom