Wakuu hivi hii inasababishwa na nini?Shida inaanzia hapa. Kodi ni mara tatu ya CIF.View attachment 1216273View attachment 1216274
Hii kauli haina ukweli magari kama Ford,Bmw au Mercedes matumizi ya mafuta ni kawaida Sana na pia vipuli vipo tuu ingawaje bei ipo juu ila sio vya kubadilisha mara kwa mara kuliko haya magari mengine...Kulingana na nature ya Tanzania. Brand ya gar hizo ni changamoto sana kupata vipuri na fuel consumption yake iko juu. Hivyo inapelekea watu kupendelea gar ambazo upatikanaji wa vipuri ni rahisi zaidi
Nataka kununua benz c~class mkuu naomba msaadaBenz maintenance take ipo juu mkuu. Shocks peke ake ya bei ya chini ni 400-600 laki hii naongelea C class.
Ukija Benz kama S class shock take unapata kwa 2.5 mil each.
Hii ni moja ya sababu watu wanakimbia hizi gari ila in nzuri sana kwa upande mwingine maana ukifunga spare unasahau.
Nakaribisha maswali zaid nitajitolea kuyajibu kuhusu gari hizi.
Ulifanikiwa kununua hii kitu kakaMimi nahitaji kuagiza Merc ya zamani C200. Natakiwa niwe na Sh ngapi jumla?
CC: RRONDO
Hapana aiseeUlifanikiwa kununua hii kitu kaka
Nenda pale the Hague Centraal, utakuta msululu wa Benz, tena zile Classic, zimepangana kama Taxi. Waholanzi wanaziitumia sana kama Taxi, nadhani hata wajerumani wenyeweHayo ni magari ya kifahari.
Kwa hiyo bei pamoja na gharama za matunzo ni kubwa.
Sijawahi kuona gharama za kubadili oil za BMW zilizo chini ya dola 50 za Kimarekani.
Mkuu service yahii gari ikojeNikipata hela nitavuta C230 ya 2006 hadi mkononi 15mil
Ushuru 8.2mil
Kununua CIF 5.3mil
Bandarini 500K.
Bima 700K
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata me ndio niko kwenye mikakati za kuichukuaMkuu service yahii gari ikoje
Benzi haipitwi na wakati , sisi kwetu Mzee wangu alikuwa na cl 140 ya mwaka 1980 na bado ipo njema kabisa, ukulizia bei ni ghali na matengenezo ni ghali, sasa SERIKALI INAWEKA USHURU MKUBWA ili kulinda hadhi ya BENZI huku vi-baby walker kama vits na ist mkiwekewa ushuru sawa na bure, yaani unaagiza gari kila kitu unalipa milioni 12 tu, yaani bure kabisa.jaji mfawidhi imekuaje hiyo benz ikafika 70milion wakati hilo ni toleo ni la mwaka 2008 kwenda chini...duu kwa hiyo kuleta ya 2015 si itakua balaa hiyo kodi yake...
Mbona baya ivo...mimi na ka prado Tx kangu ka 40M nawewe yupi anawahi kuchukua mzigo bar au beach?Mimi nimenunua Mercedex c 350 ,gharama zote kwa tshs mili 70.
Hilo hapo,toka japan,not zero km!View attachment 444513
heshima kaka, Benzi haichujiMbona baya ivo...mimi na ka prado Tx kangu ka 40M nawewe yupi anawahi kuchukua mzigo bar au beach?
View attachment 443327 View attachment 443328 Ongeeni kuhusu sijui BMW, Merc.., ila mnyama huyu hapa Nissan Fuga..., ni mtamu kuliko utamu wenyewe.View attachment 443327
Huwa naona Gari unakuta ni Lexus ila kwenye zile Logo kama zibenadilishwa ivi mi huwa nahisi mwanzo ilikua Harrier sasa kwa nini wafanye vile? ni kitu kidogo ukikitizama ila nahisi kuna kitu apo yani Ukicheki Logo ya Mbele pale kwenye show case Nyuma kwenye Starring zote zimechezeshwa kwani kuna nini hasa hapa?Uko sahihi sana. Utaona wabongo Harrier zote wanaziita Lexus. Lexus RX wanaziita Harrier. Hata vijiko vinatofautiana.
Mkuu mfumo wa bei ya spea wa Benz wanao na landcruiser hizi mikonge ni kwamba bei zake zimesimama vile vile hakuna kisichopitwa na wakati na unapoona bei ghari ya magari hapa kwetu ni Kodi Mkuu ila hayo magari ni bei ya kawaida huko nje Mercedes Benz SA ndio gari zipo nyingi na bei yake used ni ya kawaida mno mno tatizo ni Kodi ndio maana unaona yanafika kwa gharama kubwa...Benzi haipitwi na wakati , sisi kwetu Mzee wangu alikuwa na cl 140 ya mwaka 1980 na bado ipo njema kabisa, ukulizia bei ni ghali na matengenezo ni ghali, sasa SERIKALI INAWEKA USHURU MKUBWA ili kulinda hadhi ya BENZI huku vi-baby walker kama vits na ist mkiwekewa ushuru sawa na bure, yaani unaagiza gari kila kitu unalipa milioni 12 tu, yaani bure kabisa.