Msaada anayejuwa unywaji wa mafuta alteza

Hii ulaji wake si wakutisha kutokana na uwepo wa VVT-I... engine ni Beams 4 cylinder..(3sge-D;VVT-i).... kwa engines nyingi za 3s.. hasa hizi N/A zinakula vizuri.. pia kwa 3sgte nazo zinakula vizuri.. so kwa wazee wa mbio ukipata 3sgte-vvt-i inaokoa wese sana na mbio unapata ....

ANGALIZO

kwa experiance yangu.......... 6cylinder na 4cylinder.. /// 4 cylinder inakunywa kuliko 6cylinder kwa upande wa Altezza... so gari kuwa 6cylinder or 4cylinder haimaanishi ulaji mwingi upo kwa 6cylinder.... pia ulaji wa mafuta hutegemea na UJAZO wa cylinder (CC) cubic centimeters
 
Mkuu zile zenye engine ya yamaha ulaji wake wa mafuta ukoje?
Hii ulaji wake si wakutisha kutokana na uwepo wa VVT-I... engine ni Beams 4 cylinder..(3sge-D;VVT-i).... kwa engines nyingi za 3s.. hasa hizi N/A zinakula vizuri.. pia kwa 3sgte nazo zinakula vizuri.. so kwa wazee wa mbio ukipata 3sgte-vvt-i inaokoa wese sana na mbio unapata ....

ANGALIZO

kwa experiance yangu.......... 6cylinder na 4cylinder.. /// 4 cylinder inakunywa kuliko 6cylinder kwa upande wa Altezza... so gari kuwa 6cylinder or 4cylinder haimaanishi ulaji mwingi upo kwa 6cylinder.... pia ulaji wa mafuta hutegemea na UJAZO wa cylinder (CC) cubic centimeters
 
Mkuu zile zenye engine ya yamaha ulaji wake wa mafuta ukoje?
Kuna kitu watu wanachanganya hapa...

BEAMS ni injini iliyotengenezwa na yamaha..

labda unamaanisha YAMAHA kavu..

BEAMS ina maana au ni abbreviation ya (Breakthrough Engine with Advanced Mechanism System) kama sikosei, so mfano hiyo injini juu ni Yamaha 3sge BEAMS.. ambayo ni valve 16.. yenye top cam (DOHC)
 
Kuna kitu watu wanachanganya hapa...

BEAMS ni injini iliyotengenezwa na yamaha..

labda unamaanisha YAMAHA kavu..

BEAMS ina maana au ni abbreviation ya (Breakthrough Engine with Advanced Mechanism System) kama sikosei, so mfano hiyo injini juu ni Yamaha 3sge BEAMS.. ambayo ni valve 16.. yenye top cam (DOHC)
Ahsante sana mkuu kwa ufanunuzi
 
Ulaji wa mafuta kwa gari kwa gari ni kuangalia kwanza engine yako ina cc ngapi?
Baada ya hapo. Gari aina moja same cc..same horsepower ya engine. Ila ulaji wa mafuta ukawa tofauti kwa sababu nyingi sana. Moja wapo ni hizi
1. Dereva uendeshaji wake
2. Aina ya tair unazozitumia
3. Umezijaza upepo kiasi gan.
4. Mzigo uliopo kwenye gar .mf. Ac na vingne.
5. Speed unayotembea barabaran
5.nature ya barabara.
6. Body designs

Hivyo kwa aina ya gar uliyonayo au unahitaj kuinunua kuna vitu ving vya kuangalia
 
Back
Top Bottom