Recent content by ambrose1

  1. ambrose1

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Sijui kama kuna Rais kama JPM Kwa Upande wangu JPM ndy Rais wangu Bora kuwahi kutokea, Itachukuaa miaka kumpata Rais kama JPM. Mungu amlazee mahala Pema peponi
  2. ambrose1

    Fahamu A-Z kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    🤣🤣🤣 Asante kwa historiaa
  3. ambrose1

    SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

    Mi chakula changu ni ugali napenda sana. Sisi wairaq Ugali ndiyo chakula kikubwa. Wanangu wa Dar, Moro 🤣 mnapenda sana Ubwecheeee kuleni Ugali tena Ugali wa Dona not sembe
  4. ambrose1

    Baba akamatwa kwa kuwapachika mimba binti zake wawili

    Kweli dunia inaenda kasi sanaaa, Baba una baka watoto wako km sio akili finy'uu ni nini? Mungu atusaidie tu
  5. ambrose1

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Mama wa Mama wa nchi Mungu akulinde siku zote mama.
  6. ambrose1

    Mkurugenzi wa zamani wa NIDA, Dickson Maimu akutwa na kesi ya kujibu

    Hivi Nida bado wapo nilifikiri imekufa
  7. ambrose1

    Kodi zingetozwa kwenye harusi ingefaa sana

    Hatuwezi tukamlaumu kiongozi naamini siku zote maendeleo ya kweli lzm yawe na changamoto kwhiyo tujenge taifa letu kunasiku tutafurahia matunda haya.
  8. ambrose1

    Tanzania bado ina uhaba wa wahandisi wanawake

    Kwani wao wanasemaje huko 😂😂😂
  9. ambrose1

    Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change)

    Tanzania ili kupaisha uchumi wa inchi tunapaswa kuboresha nyanja zifuatazo .Utawala Bora ,Afya,Kilimo,ukusanyaji wa kondi,Uhuru wa vyombo vya habari,bunge nk,Siasa safi,Amani. nk, 1.UTAWALA BORA;kuwa na uongozi unaozingatia sheria na misingi ya maadili,kukemea ubadhirifu,rushwa,unyanyasaji na...
  10. ambrose1

    Askari JWTZ Arusha amuua mfugaji kwa risasi

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amina. Tunaomba muhusika ashukuliwe hatua kali za kisheria tumechoka na haya matukio sahivi.
  11. ambrose1

    Shule ya Sekondari ya Wavulana Geita (GESECO) imefungwa kwa muda wa wiki mbili baada ya kuungua mara 3 ndani ya siku 7

    Wahusika tunaomba mjithathimini sana kutokana na haya majanga ya moto sahivi kunakazi kubwa ya kufanya maana athari za moto zimegeuka kuwa janga sahvi.
  12. ambrose1

    Julius Malema afungiwa kutumia Twitter kwa muda

    Kuna muda unatamani wazee walioleta umoja katika bara hili wangerudi ili waone kazi zinazoendelea sahivi, punzikeni tu mashujaa wa afrika
  13. ambrose1

    Julius Malema afungiwa kutumia Twitter kwa muda

    Serikali ya Africa kusini inabidi wakae chini ili kumaliza mzozo huu maana bila amani kupatikana hii nchi itakuwa na hali mbaya ya kisiasa tunapoelekea.
  14. ambrose1

    Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change)

    Biashara Nchi inahitaji kuwepo kwa usawa katika makadirio ya Kodi na kuwawezesha vijana mikopo mbali mbali ili kuongeza wigo wa walipa Kodi kuliko kuisambaza hivi bado tabaka la chini wanaumia zaidi Elimu Elimu inabidi isiingiliwe na wanasiasa kwani wamekuwa wakitoa miongozo isiyo na tija na...
Back
Top Bottom