Recent content by ambiliki

  1. ambiliki

    Idara ya maji Arusha, hawapo makini katika utendaji wao wa kazi

    Idara ya maji Arusha, hawapo makini katika utendaji wao wa kazi na pia hawajali wateja wao, wanacho juwa ni kusoma meta za maji na kutuma bili, hiii siyo sawa. 1: Maji ya arusha Kwa sasa ya Latha ya chumvi niliwapigia simu na kusema watafanyia kazi Hadi Leo ni kimya 2: Bomba limepasuka hii ni...
  2. ambiliki

    Wakuu wa Mikoa acheni kampeni za tozo

    Ukisikiliza kauli za wakuu wa mikowa ,wanatuambia kwamba tozo zimelete maendele,hii siyo kweli ila nikualalisha ubaya wao kuwa jambo jema ,Leo umeweka tozo kwenye miamala ya simu watu wameacha kutumia ,umekimbilia banka Nako watu watakimbia. Swali langu ni kwamba kabla hamkufikiria kumuumiza...
  3. ambiliki

    LATARA ni tatizo kwa Watanzania

    LATARA wamekuwa na vikwanzo visivyo na maana na zaidi ya yote ni kukwamisha maendelea, Mfano: umeenda tala umewalipa wamekubali umeenda tala (tanapa) mumeshea kulipa dola mia tano wamekubali njoo sasa latra ,unaulizwa mambo mengi yasio na maana umewapa kadi ya gari unaulizwa tanapa unaulizwa tax...
  4. ambiliki

    Latra acheni ubabaishaji

    Kama Waziri wa Usafirishaji yupo humu au kuna mtu anaweza mfikishia ujumbe huu, latra ambao walikuwa Sumatra zamani , wamekuwa wababaishaji na wasubufu. Kwanza hawafanyi kazi kwa weledi ,pili wametengeneza mianya ya kutokuwajibika na kupoteza mapato kwa Serikali mfano 1: Ukienda ofisini kwa...
  5. ambiliki

    Sabaya matatani kwa kumshambulia Diwani wa Sombetini Arusha

    Huyu jamaa ni tabia yake ana matukio mengi na yote ni yakijinga kijinga alisha shikwa Arusha akijifanya usalama wa taifa ,mail stone alisha kula kaondoka bila kulipa aliwasingizia watu wamevunja reli,akija Arusha tabia yake ni ubabe kwahiyo hili siyo geni ,watu wanamvungia tu,lile tukio la...
  6. ambiliki

    Serikali iandae hati maalumu kuwakamata & kuwarejesha nchini wahalifu Ansbert Ngurumo, Tundu Lissu na Godbless Lema

    Haka jamaa kanaangika utazani kamke kalicho achwa,kama wewe kidume siukawakamate,majambazi mlio yafuka mnashindwa kuyakamata ,hadi mengine yameanza huko Arusha kushambuliana hamuoni .na bado mtauwana ameanza kiongozi wa wilaya kushambulia madiwa hadi mtasema nani alimpiga tindulisu,
  7. ambiliki

    Hospitali ya Seliani (Arusha) acheni ubaguzi wa rangi

    Mapokezi pale kulikuwa na nesi tulipo wambia anashida ya upumuaji ,walimchukuwa damu na badaye kutuandikia hivyo ,vipimo,hoja yangu kubwa ni kutaka kujua hosipitali nao malipo yanamuangalia mzawa na ambaye siyo mzawa nakama yapo kwanini kwa tofauti kubwa hivyo,na jambo la pili kweli kitanda laki...
  8. ambiliki

    Hospitali ya Seliani (Arusha) acheni ubaguzi wa rangi

    Jana usiku nilimpeleka mgonjwa hosipitalini hapo. Kilichonisikitisha ni gharama kubwa alizo takiwa kulipa. Nilipouliza sababu za kumchaji hivyo wakasema si mzawa. Vipimo ambavyo ni vya kawaida walichaji 150,000. Kulazawa kwa siku moja 500,000 (laki tano). Mbaya zaidi, wamechukua pesa ya kumuoda...
  9. ambiliki

    GE2020 Mkurugenzi wa mashtaka nchini Tanzania (DPP): Yeyote mwenye lengo la kuvuruga amani ya nchi atashughulika bila kujali dini, jinsia wala cheo chake

    Unaonaje ukianza na wakurugenzi wa usimamizi wa uchaguzi wana hatarisha amani ya nchi yetu,unazani wanavyo fanya ni sawa hawataki kuwaapisha wapinzani ,nini matokeo yake
  10. ambiliki

    Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

    GUSSIE, Kama aliweza kwenda kinyume na waraka wa maasikofu wezake na kusema haujui sishangai hata kwa hiki alicho andika ,kwanza yeye siyo msemaji wa kanisa katoliki ni haki yake kuongea anacho waza ,
Back
Top Bottom