Kama Waziri wa Usafirishaji yupo humu au kuna mtu anaweza mfikishia ujumbe huu, latra ambao walikuwa Sumatra zamani , wamekuwa wababaishaji na wasubufu. Kwanza hawafanyi kazi kwa weledi ,pili wametengeneza mianya ya kutokuwajibika na kupoteza mapato kwa Serikali mfano
1: Ukienda ofisini kwa...