Urafiki wa Mwanamke na Mwanaume ni mgumu

Urafiki wa Mwanamke na Mwanaume ni mgumu

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,469
Natumai hamjambo wananzengo

Wakuu kwa mtizamo wangu naamini hakuna urafiki mgumu hapa duniani kuuishi bila kulana kama urafiki wa Ke & Me. Urafiki huu huanza vizuri but unapofikia kati na kuendelea matokeo yake hua ni kulana tu. Karibu mara zote napojihusisha katika urafiki huu matokeo yake hua nikulana.

Sasa nachojiuliza ni mimi pekee mhanga wa huu urafiki au hata ninyi wakuu? Pia walofanikiwa kuuishi urafiki huu bila kulana mnatumia mbinu zipi?

Karibuni kushare.
 
Si kweli, mimi binafsi ni mume wa mtu nina rafiki yangu wa kike tangu tuko sekondari, kwa sasa ameolewa lakini huwa naenda kwake tunaongea vizuri wakati mwingine ananiambia tukae chumbani kwake kuepuka kelele za watoto sebuleni! Hakuna hata hisia za mapenzi
Chumbani!!
Mwenye dawa ya nguvu za kiume njooni muokoe jahazi linazama huku.
 
Si kweli, mimi binafsi ni mume wa mtu nina rafiki yangu wa kike tangu tuko sekondari, kwa sasa ameolewa lakini huwa naenda kwake tunaongea vizuri wakati mwingine ananiambia tukae chumbani kwake kuepuka kelele za watoto sebuleni! Hakuna hata hisia za mapenzi

Mkuu chumbani kabisaa huogopi bwana anaweza kukuta nae?
 
Si kweli, mimi binafsi ni mume wa mtu nina rafiki yangu wa kike tangu tuko sekondari, kwa sasa ameolewa lakini huwa naenda kwake tunaongea vizuri wakati mwingine ananiambia tukae chumbani kwake kuepuka kelele za watoto sebuleni! Hakuna hata hisia za mapenzi
wewe sio mzima, kamuone daktari
 
Si kweli, mimi binafsi ni mume wa mtu nina rafiki yangu wa kike tangu tuko sekondari, kwa sasa ameolewa lakini huwa naenda kwake tunaongea vizuri wakati mwingine ananiambia tukae chumbani kwake kuepuka kelele za watoto sebuleni! Hakuna hata hisia za mapenzi
Aise! Umeamua kutupa kahawa bila kashata
 
Si kweli, mimi binafsi ni mume wa mtu nina rafiki yangu wa kike tangu tuko sekondari, kwa sasa ameolewa lakini huwa naenda kwake tunaongea vizuri wakati mwingine ananiambia tukae chumbani kwake kuepuka kelele za watoto sebuleni! Hakuna hata hisia za mapenzi
Kuna hitilafu katika "Receptors" zako za mahala fulani
 
Hakuna urafiki wa ME na KE zaidi inaishia kwenye ngono
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Sio kweli, mm ninae rafiki yangu karibia mwaka wa tisa huu. Tulikutana shirika flani tukiwa vijana hadi sasa kila mtu na familia yake na wala hakuna shida yoyote.
 
Sio kweli, mm ninae rafiki yangu karibia mwaka wa tisa huu. Tulikutana shirika flani tukiwa vijana hadi sasa kila mtu na familia yake na wala hakuna shida yoyote.
tupe mbinu umefaulu vipi? au ndo hajakuvutia mkuu
 
Mkuu inategemea mvuto alionao huyo binti/mwanamke.
Binafsi mapenzi ya kula na chumvi, limao na chachandu siyawezi.
Lakini kama anamvuto haponi.
Si kila mwenye uke lazima umle.
Hakuna urafiki wa ME na KE zaidi inaishia kwenye ngono
Aise! Umeamua kutupa kahawa bila kashata

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe sio mzima, kamuone daktari
Mkuu chumbani kabisaa huogopi bwana anaweza kukuta nae?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulana kupo!! tena bila kutongoza...mazoea tu + utani wa hapa na pale unakula mzigo.
 
Ni hivi


1st scenario

Urafiki wa mwanamke na mwanaume upo kabisa ila tatizo mmoja itatokea ata develop feeling kwa mmoja ukiwa slow utawekwa friend zone urafiki utadumu hasa kwa sisi vidume hatuna hard feeling wala rejection haitusumbui wengine ndo hvyo wanaamua ku dissapear (badilisha laini mpaka makazi )

kwa upande wa mwanamke aki develop feeling yeye anafia na moyo wake asemi katu ila akisema akikataliwa na urafiki unaisha kitu ambacho ni 0.01% impossible kutokea papuchi kususiwa [emoji3]

2and scenario

Ukiwa mwepesi mnaishia kulana kiunzi cha u friend zone unakiruka urafiki at the end of time mawili yatatokea unaweza endelea au kuisha kabisa
 
Si kweli, mimi binafsi ni mume wa mtu nina rafiki yangu wa kike tangu tuko sekondari, kwa sasa ameolewa lakini huwa naenda kwake tunaongea vizuri wakati mwingine ananiambia tukae chumbani kwake kuepuka kelele za watoto sebuleni! Hakuna hata hisia za mapenzi
Unasemaa?
 
Huu urafiki anayeweza kuuimarisha ni mwanamke pekee, kama akiwa mlaisi utamla lakini kuna wanawake marafiki ni strong sana nimekuwa nao huu mwaka takribani 4 lkn jinsi anavyonichukulia ni km rafiki siwezi ata kuanzisha izo habari.
Japo wapo niliopita nao
 
Kulana kupo!! tena bila kutongoza...mazoea tu + utani wa hapa na pale unakula mzigo.
Wapo wagumu ukianzisha izo habari urafiki unaisha,
Mwanamke akiwa rafiki alafu hajakutambulisha mpenzi wake ujue anakusubili wewe
Anakutege ili uone jinsi alivyo yupo single kweli mwanaume mate yatakutoka
Akikutambulisha mwanaume wake huwezi fanya kitu kwake
 
Back
Top Bottom